Mdogo mdogo inakua severe...Kazi kwelikweli. Na pia kansa inaua watu jamani. Sijui shida ni nini
Daah ile video ina funzo kubwa...Kwakweli kifo ni siri.... nlivyoona ile video aliyopost J anasukuma ile support nlishangaa sana, na kuitafakari familia itakua inajisikiaje kumuona ametengemaa
Figo na mengineyo.... ila figo nadhani ndo lilikua la moto sanaKwani Prof J alikuwa anaumwa nini?
Hii ya matiti kubwa ni kutonyonyesha vzr..Mdogo mdogo inakua severe...
Kuna hii ya matiti ipo speed, 3 people in my circle imewaondoa na mmoja alikua cleared kabisa India kwamba amepata nafuu, akavuta kabla hajarudi
Na cervical pia, jirani yangu imemuondoa late 30s
Ah wapi..... kitu unapewa dawa bure na serikali then the rest is on you.Ukimwi ni ugonjwa wa kufilisi
Haya sawa. Harusi ni tarehe 30 βOktombaβ.Mchumba umepata, anza shamrashamra za kunivisha pete mchuchu mimi π.
Halafu tuwe tunaachana kila baada ya mwaka halafu tunarudiana kuoana tena tuweke rekodi yetu...βΊ.
Sharti hakuna kuchepuka, tukitaka kuchepuka tuchepuke kwetu sisi sisi, yaani uchepuke na mimi na mimi nachepuka na wewe halafu tunafumaniana tunaachana halafu tunarudiana tena....ππππ
Kama hujaelewa wewe ni manangumene nkunyole....ππππ.
Sidhani..... labda kama kuna study imenipita share linkHii ya matiti kubwa ni kutonyonyesha vzr..
Dada yangu ya titi imemuondoa, wifi zangu wa 2 ya utumbo. Nawajua wengi wamekufa kwa kansa tofauti.Mdogo mdogo inakua severe...
Kuna hii ya matiti ipo speed, 3 people in my circle imewaondoa na mmoja alikua cleared kabisa India kwamba amepata nafuu, akavuta kabla hajarudi
Na cervical pia, jirani yangu imemuondoa late 30s
Ni kisababishi pia...Sidhani..... labda kama kuna study imenipita share link
Wa kwanza alifariki last born wake akiwa 18+
Wa pili kafariki last born wake 25+
Wa mwisho alifariki last born wake ni mkubwa kiasi ila sina uhakika na umri wake
Wala sio. Wapo ambao wamenyonyesha vizuri tu na wamepata. Hili dude hata halina formulaHii ya matiti kubwa ni kutonyonyesha vzr..
Basi kama ni hivyo kazi hasa.Bongo watu maarufu wanaitwa wasanii,
Hata uchebe fundi garage nae anaitwa msanii!!
Kazi kweli kweli.
Duhhh... hatariDada yangu ya titi imemuondoa, wifi zangu wa 2 ya utumbo. Nawajua wengi wamekufa kwa kansa tofauti.
Hahahah. Mimi mshangaziDuhhh... hatari
BTW nlikua najua wewe ni mbaba π π€£ π π
Siku hizi uandiki APEPE mzee wa mkaa minjunguPoleni ndugu ,jamaa na marafiki....Bwana ametoa ,bwana ametwaa jina lake lihimidiwe ,inna lilai waina ilai rajiun....M.A.P Dida wa Mchops.
Ukinyonyesha vizuri unapunguza risk, lakini kutonyonyesha hakuongezi risk....Ni kisababishi pia...
Wewe umekariri hizi za msaada! Nina dada yangu anameza tangu miaka ya tisini na moja. Alipewa na mzungu mmoja hivi akaamua awe anamlipia hizo dawa mpaka leo anapata za bure na anadundaAcha uongo... Toka ARV zimerasimishwa bongo hazina hata miaka 25, Google is free
Nimesharekebishwa tayari mkuuWewe umekariri hizi za msaada! Nina dada yangu anameza tangu miaka ya tisini na moja. Alipewa na mzungu mmoja hivi akaamua awe anamlipia hizo dawa mpaka leo anapata za bure na anadunda
Naombeni waume zake waliowahi kumuoa na kumuacha!
Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.
Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.