Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
We umelewa ulanzi?Yeeey and Faki yuuu.....ππππ
I live this month Oktomba....ππππ
Ni mtamuu haswa ukisindikizwa na mchuzi wa Nyani, naukunywa woooteee aaaammmmm nakuufyonza mchuzi woote fyuuufyuuuu....ππππππππ.
Halafu uje umevaa attire ya Albert Tomba...π π π .
Monkey Pie Ngabuu Jabuuuu.....ππ
Lacostee Lacosteeee.....πππ.
We umelewa ulanzi?
Watu kama hao kina Dida wanatembea wameoza. Husikii anaumwa unasikia kifo tu.
Angelazwa wiki huyo kila mtu angejua
Alikuwa msemaji wa familia au kaongea tuu sabb kapelekewa mic
Sina uhakika na hilo, sifahamu kwakweli....
π au sio?Ili unisaidie nini mkuu?
ππcybermourningMsiba wa kwenye cyberspace π€£π€£π€£π€£ evu kuwa serious nawe
Na kavaa ile ni abaya sio kanzu...Yupo na wakina mama mpk sasa...
Mkuu, usijidanganye,....nina ushahidi wa kutosha kabisa,...Waathirika wengi wanawapanga madaktari kabla ya kwenda kupima,...daktari anakunjishwa mpunga wake, kisha anatunga majibu...kujipima wenyewe hawataki au wanakataa majibu,...huku kwetu kuna hadi daktari aliyehamishwa kwa sababu ya tuhuma hizo,...Sidhani, walikuwa hawa cheki afya kabla
Sijajua mtani wangu labda alitaka wapeleke kwa mama yake πSasa kwanini msiba upo kwa mama ake?
jf raha sana,...ππ€£π€£π€£π€£π,..haya mi nimeifanya barua ya mapenziπHiyo ni wewe tu utakavyoichukulia, ukiiangalia vizuri inaweza kuwa hata barua ya posa.
Huyo wa ngwengwe basi alijichelewesha hakua serious na afya yake.....Nimekaa na wagonjwa tajwa woote tena nyumbani kwangu,
mkuu,... pamoja na hayo,...hali za watu ni mbaya sana,...huu ugonjwa ni janga kweli kweli,...nimefanya kazi vijiji mbali mbali nchini, hali sio shwariπππHizi za kila mwezi ni huku kwetu Mkuu wangu, sasa hivi kuna dozi unapewa inakaa miezi 6 na baadae wameambiwa watakuwa wanapata sindano moja kwa mwaka, lakini ni kwa watu waliofanyiwa vipimo na ikaonekana wako vizuri kiafya pamoja na kuwa waathilika.
Pia hata wanaotumia dozi ya kila siku ukitumia vizuri kwa muda mrefu na ikaonekana cd4 zako zinaongezeka kwa kiwango cha juu basi uwezekano wa kusimamishiwa dozi ya siku upo kwa muda ambao madaktari wako wataona unafaa.Nimefanya kazi na mradi uliokuwa una deal na hizo mambo chini ya ufadhiri wa global fund so kuna kitu nilijifunza.
Nimeshangaa sana dunia ya sasa mtu unakufa kwa hiyo kitu watu sasa hivi wanaogopa mafua kuliko ukimwi kwani ukifuata ushauri wa madaktari wako hamna atakayejuwa una maambukizi na kila kitu utafanya kama mwingine yeyote na utaishi vizuri mpaka pale muumba wako atakapo kuchukua kwa niia aliyokupangia thats why usi mujudge mtu kutokana na mwonekano wake.
Jiwe ilitakiwa awekewe dongo ilo na tripu mia za mawe juu yake,maana asije siku akachomoka akaja kutusibu tena!Dongo hilo.lione tu ila usiombe uwe chini yake.ewe mja omba mwisho mwema