akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
Akaachwa, kuachana ndio nini mkuu?Huyu ndio aliolewa na yule shehe njaa wakaachana?
Naomba kujua alikuwa partner wa nani redioniApumzike kwa amani Kifo ni fumbo mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi nenda salama jirani yangu kutoka kigamboni na mbweni hapo 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yeye ni mama au babaLOKOLE kwenye Msiba ataenda makaburini au atabaki na wakinamama.
MadamInnalillah wa inna ilayhi rajiun
karibu tena rebeca ,naona umerudi tena nyumbani
Hii moment ya rohoe mbaya mno...muombee japo apunguziwe adhab ya kabriApumzike anapo stahili,kazi ya Mungu haina makosa
Pole sana kwa wafiwa, ila wanadamu jueni maisha yanapita, ngono zinapita, pesa zinapita, kila kitu unachokiona kinapita, everything in this world shall fade away, cha muhimu unachotakiwa kujiuliza ni, utakapokufa utaenda wapi? motoni au uzimani?View attachment 3115402
View attachment 3115449
Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili
Amefariki usiku wa leo