TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Habari wadau,tumepoteza mtanzania mwenzetu mtangazaji wa Wasafi fm/tv Dida Mashamshamu.

Chakushangaza Wasafi imechelewa kutoa taarifa wakati Crown fm wakiwatangulia kutoa taarifa za kifo chake.

Japo chanzo cha kifo chake bado hakijawekwa wazi ila wasafi kuchelewa kutoa taarifa walikuwa wanapaka makeup maiti au?😭😭
 

Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.

Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Kwahiyo mlidhani Watu wanalazwa kwa Sababu Gani? Utalazwa ukiwa Haujaugua?
 
Back
Top Bottom