Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Mzee Yusufu kwa msiba huu mzigo. RIP Dida .
Kazaliwa 1982Mid 40s, alikuwa classmate wangu primary ubungo national housing. Kazaliwa Late 70 or early 80, if my memory serve me correct.
Aliyeolewa na shehe wa mchongo ni diva...Huyu ndio aliolewa na yule shehe njaa wakaachana?
Khaa kwa hiyo mkuu wewe uliwahi kufa ndiyo ukazijua!?Ukifa utajua tu
Kifo kwa Waswahili huwa kinaleta maneno na misemo mingi sanaKwamba tukiwa humble itasaidia nini? Kufa kupo pale pale!
Wewe umejuaje acha kwenda kinyume na mada Mimi mwenyewe Athens tu usiafanye tuchafue Uzi kwa mambo ya kiwaki mkuuKhaa kwa hiyo mkuu wewe uliwahi kufa ndiyo ukazijua!?
Kwahiyo mlidhani Watu wanalazwa kwa Sababu Gani? Utalazwa ukiwa Haujaugua?
Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.
Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Wee c ndo umeanzishaaa? Kuletaa ya sirini hapa?marehemu asemwi vibaya please
Unga madaWee c ndo umeanzishaaa? Kuletaa ya sirini hapa?
Rebeca nilimiss michango yako kuna muda mods walikusumbua ukapotea.
yataongeleka siku nyingine sio leoHizi habari nani alizitoa mbona mambo mazito
Na Rafiki yake Amina wa Mpakanjia.Dah didah wa mchopanga dida wa mchops