Siyo sawa kuandika vitu kama hivi, mtu anapokufa anakuwa amefunga kitabu chake cha hapa duniani mengine tumuachie mungu, siyo sawa kumsema mtu ambaye hawezi kujitetea, na unajisikiaje kusema mambo kama haya kwa marehemu, hivi angekuwa dada yako unheandika vitu kama hivi? Hii mitandao isotutoe utu wetu ,hata sisi tutakufa