raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Edzen The RockaNmemkumbuka hyo mtangazaji amewahi kupita kiss FM ya Kwanza
Alikuwa na kipindi kiss collabo mix show
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Edzen The RockaNmemkumbuka hyo mtangazaji amewahi kupita kiss FM ya Kwanza
Alikuwa na kipindi kiss collabo mix show
Bongofleva na bongomuvi wengi wenu mmeathirika..Wewe kama una HIV meza vidonge huku ukifata ushauri wa daktari acha kuchafua na wengine
Ezden. Ile picha niliumia sana Ezden nilikua nampenda sana.😌Nmemkumbuka hyo mtangazaji amewahi kupita kiss FM ya Kwanza
Alikuwa na kipindi kiss collabo mix show
Nadhani alikuwa mgonjwa mda mrefu si chini ya mara nne au tatu nilikutana nae hospital fulani
Kidogo niulize.Kifo sio Jambo la kukebehi wote tutapitia. Koment za ugonjwa Naona ni nyingi. Hata anaejiona mzima anaweza akaugua na kutangulia😔Kwahiyo na wewe ni mgonjwa muda mrefu? Coz na yeye pia alikua anakutana na wewe huko hospital fulani.
Nauliza tu.
Tatizo la mashudu yakifikia ukomo unakata moto gafla, mgonjwa anayetumia mashudu haugui akateseka, anakata moto kama mtu wa preshaKumbe hata ukifatisha dawa ni shida tu, mungu atulinde na awafanyie wepesi wenye maradhi hayo
DoohTatizo la mashudu yakifikia ukomo unakata moto gafla, mgonjwa anayetumia mashudu haugui akateseka, anakata moto kama mtu wa presha
Unakosea kiongozi! Ile ni kazi kama zilivokazi zingine.! Una uhakika wewe siku yako ikifika ambayo ipo karibu utaenda wapi?Alivyokuwa akichamba na kidomo chake kana kwamba duh
Haya akachambane na shetty huko kuzimu
Sijakebehi hata nami nilikuwa nashangaa nje alikuwa mgonjwa ila kwenye kipindi alikiendesha vizuri .Kidogo niulize.Kifo sio Jambo la kukebehi wote tutapitia. Koment za ugonjwa Naona ni nyingi. Hata anaejiona mzima anaweza akaugua na kutangulia😔
Mwishoni aliacha nikweli,ukidanda danda na ME tofauti lazima ujifiche au upotezee....outcome will be worstHapana huyo alikuwa anazingatia ila ni ugonjwa sugu(….)Mungu ampumzishe
Alikuwa anaachaKumbe hata ukifatisha dawa ni shida tu, mungu atulinde na awafanyie wepesi wenye maradhi hayo