Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Hahahhaah.....jamani watu kwa kupenda ubuyu siwawezi.
Chaaaaaa!!!!!
Eti madikodiko....wewe!!!!

DaJane tunaomba utupe back up plan......ili tukikukosa hapa wakwetu tukupate wapi........sio kwa afya hii.....
Wakuzi hawakawi kubonyezabonyeza visivyowahusu.......
 
nahisi bado amelala akiamka tu lazima awachambe kina naky ....maana bibi yule kwa kupenda mabaya yawakute wenzie...
 
nahisi bado amelala akiamka tu lazima awachambe kina naky ....maana bibi yule kwa kupenda mabaya yawakute wenzie...
Sana mupenzi..ile mama inapenda wenzie wakipata misukosuko yani huko atakua anaandaa makala kwa dougie Mange ana shida sio bure!! Ile chuki iko beyond normal khaaa leo Anne Kilango atakufa nae na sijui kalala mana yule huwa anapost muda wowote ndani ya masaa24
 
DaJane tunaomba utupe back up plan......ili tukikukosa hapa wakwetu tukupate wapi........sio kwa afya hii.....
Wakuzi hawakawi kubonyezabonyeza visivyowahusu.......
Wanifate mara ngapi shouga?
Yaani mie nina gundu, sijui la nchi gani!!
Ila tutaenda sawa....maadam washaniambia napokosea.
lohhh!!!!!
Mie nina Id hii hii..... (hahhaaaahahahah)
 
Dida huyu wa sasa ukionyeshwa zile picha zake wakati anaigiza kaole utasema sio yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…