Teh TehHapana mama,anzisha tu wewe nishakuvulia kofia.
Ukishaanzisha tu naja kujazia na tutaenda sawa kama hapa.
Nafurahia kusoma vichambo vyako zaidi,hadi napata mzuka wa kuandika umbea.
Hahahhaah.....jamani watu kwa kupenda ubuyu siwawezi.
Chaaaaaa!!!!!
Eti madikodiko....wewe!!!!
nahisi bado amelala akiamka tu lazima awachambe kina naky ....maana bibi yule kwa kupenda mabaya yawakute wenzie...Hiki kichambo hata angekuwa hayupo huku lazima angeitafuta JF aje asome.
Tunamtaka Lulu kwanza,Mange baadae.
Na tutakopi na kupesti kutoka kwa kiboko yake Kichwapanzi.
Kichwapanzi oyeeeee!
Kiboko ya Mange,kakonda kwa vichambo vya kichwapanzi anasingizia diet.
Sana mupenzi..ile mama inapenda wenzie wakipata misukosuko yani huko atakua anaandaa makala kwa dougie Mange ana shida sio bure!! Ile chuki iko beyond normal khaaa leo Anne Kilango atakufa nae na sijui kalala mana yule huwa anapost muda wowote ndani ya masaa24nahisi bado amelala akiamka tu lazima awachambe kina naky ....maana bibi yule kwa kupenda mabaya yawakute wenzie...
mwenzangu ule mtepeto hata mimi siuelewi....sijui ni man madeSnura nae ana balaa jamani.
Hivi lile kalio haliguswi kweli lile?
Maana naona kama silielewi
Wanifate mara ngapi shouga?DaJane tunaomba utupe back up plan......ili tukikukosa hapa wakwetu tukupate wapi........sio kwa afya hii.....
Wakuzi hawakawi kubonyezabonyeza visivyowahusu.......
Hahahahaaaa umenianzishia siku yangu vizuri sana.
Nakupendaje DaJane?
Haya mama tuandalie mambo,mie maji nishayaandaa kabisaaa....
Baada ya Dida tuletee Mange,Lulu n.k
Hahaaaaaaaaaaaa jf raha sana .Mdada katika ubora wako., vipi umekumbuka kuweka kwenye CV yako hii hobbby yako pendwa??
Teh teh,October ilikuwa shughuli pevu.....hope una kalamu na karatasi kunukuuHuu uzi naufuatilia kwa ukaribu sana zaidi ya matokeo ya uchanguzi wa urais 2015!
HahahahahaaaaMdada katika ubora wako., vipi umekumbuka kuweka kwenye CV yako hii hobbby yako pendwa??
Yeye na Daudi MchambuziHahahahahaaa umetisha sana Jambazi.
Ila nawe kwa umbea hujambo,sijawahi kukukosa katika uzi wowote wa umbea JF hii!
Sijambo,loh!Teh Teh
Habari yako Kamanda?
Nimeambiwa nikupe hii zawadi kabla uzi haujafungwa...
View attachment 336569