Niolewe na huo muda wa kuzunguka kutwaaa manjiani kuchuma mabuyu nitaupata wapi?DaJane umeolewa? natafuta mke.
Hahahahahaaaa
Kweli rafiki yangu Mbimbinho hunitakii mema.
Unadhani hata ukiniona ukaambiwa ndio mimi mbea utaamini?
Umbea wangu ni wa mitandaoni tu.
Katika maisha ya kawaida mimi ni binti mwema.
Hahaaaaaaaaaaaa jf raha sana .
Aaaaaah bwana DaJaneNiolewe na huo muda wa kuzunguka kutwaaa manjiani kuchuma mabuyu nitaupata wapi?
Nenda kwa Nifah au smileagain.....ma-single lady wakaksi, mie mwenzio mmbea.....kigoma cha uruguay kikinikosa mie nyumbani utasutwa wewe ujue.
Ulidhani napenda movie za kikorea tu eeeh?hahahahaaaaaaa., mwanzoni pia nilikuwa nakuona uko too far na hizi hobbies.. teh teh teh
😀 😀 😀Huyu kama anatokea Moshi basi atakuwa ni jamii ya wale wa kuleee Rombo!
Ulidhani napenda movie za kikorea tu eeeh?
Tena siku hizi nimeacha kuangalia,napiga umbea tu!
Halafu sikuiz unipendi yaan unaacha maubuyu kama haya yanipite ivi iviUlidhani napenda movie za kikorea tu eeeh?
Tena siku hizi nimeacha kuangalia,napiga umbea tu!
Duh....! Haya jamaa!Huu uzi naufuatilia kwa ukaribu sana zaidi ya matokeo ya uchanguzi wa urais 2015!
hahahah raha ya umbea uwe na mafileee yooote kama yako dajane unatiririka tyuu..wacha tuzogoe buana..ofisin penyewe pasha nuka kila siku ni kutumbuliwa majibu..hahah ngoja tupunguzie machungu pande hiziii kamanda akitoka lulu naomba afuate mange kimaviiii.....tumsaidie kichwa panzi kaziiiNyie wambea nyie, ila umbea afya ya mwili na ubongo.
Hahahhhahha.....mwambieni na nsalu apashe moto kabisa ile ngozi ya kuwambia kile kigoma cha uruguay
Kichwapazii ashafungiwa account ya insta maana namsearch simuoni.hahahah raha ya umbea uwe na mafileee yooote kama yako dajane unatiririka tyuu..wacha tuzogoe buana..ofisin penyewe pasha nuka kila siku ni kutumbuliwa majibu..hahah ngoja tupunguzie machungu pande hiziii kamanda akitoka lulu naomba afuate mange kimaviiii.....tumsaidie kichwa panzi kaziii
Huu ni ubuyu wa zenji tena grade one. Da Jane nimeona umesifiwa kwenye ka blog uchwara nimeona insta kwa baby ake.[emoji1] [emoji1] [emoji1] we ni yupi Kati ya malkia wa kuchamba,baby ake, limao zinakuhusu na Mrs arsene wenger[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] maana duh uchambaji Kama unafanana vile[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]