Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Duh!! I can't believe it!! Kumbe na wewe huwa unakuja huku kwenye majukwaa legelege!!.... Mimi nimezoea kukuona kule kwenye mada nzito nzito tu!
 
Ubuyu wa nguvu, umetulia na mtamu kama ule unaopatikana Dodomaa! Manake upende usipende lazima upitie haya mashairi. Dada umeyapanga yakapangika, lugha mwanana, nakusifu saaana. Hii ni moja kati ya raha za uswahili kwani unapokijua ni raha kwa wenzako. Kudos Dajane!
 
Ndugu wa Aisha wako Tanga, walivyoona mtoto wao anakauka na stress, wakamtafutia mwanamme amuoe.
Kumbuka Issa alianza kuwa na Dida huku akiwa ndani ya ndoa na Aisha.
Issa alikata mguu kwake.
Basi Aisha amuachie Mungu, na aendelee na Maisha yake, Na aangalie ndoa yake ya sasa, kwani hakuna chozi la mwanamke lisilokuwa na malipo, iko siko atafurahi na roho yake, Malipo ni duniani akhera kwenda hesabu. Halaf Aisha mwenyewe ni Mzuri zaid ya Dida wanaume nao hawaeleweki muda mwengine wanataka nini?
 
Hehehehe heiyaaaaaaa, sio Kwa mchambo huo.

Eti NYOTAAA...

Nyotaaa gani labda??? Kuolewa na kuachwaaa??

Kama NYOTAAA ndo hizo sitakiii wacha nijizeekee Ndoa ikigoma nazaa najilelea.

Ila nimemmiss Dida wa Kaole Mweusi mzuri.
 
Huyu Isaa hata hajielewi kaacha mwanamke mzuri mkewe wa ndoa, kwenda kuhangaika na wanawake wasio na sura wala umbo, sasa huyu Vicky kampendea nini? Au kwa sababu wamefanana pua?! Mungu apishilie mbali muunganiko wa pua za wazazi zisimfikie mtoto maana itakuwa jipua.
 
Hahaaaaaaaa sio tu jipua huyo dida hana shape na hizo jipua noma sana
 
Kumbe kuna mchaga anaelelewa? Mchaga marioo? Hapana hiyo atakua alisingiziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…