Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Duh!! I can't believe it!! Kumbe na wewe huwa unakuja huku kwenye majukwaa legelege!!.... Mimi nimezoea kukuona kule kwenye mada nzito nzito tu!Mtoa Ubuyu ni mtamu ila chini sijaelewa katiak Picha ya AISHA Umeandika ameshaolewa Tanga, kwa maana hiyo bwana Issa ni single kwa sasa??, na kama Aisha ameshaolewa kwanini anaondelea kumuombea Dida mabaya?? Dida nawe chuo cha 4 sasa isije ikawa wavunja ndoa za watu halafu wala simkaaji na hao waume, na ukumbuke unachofanyia wenzio na wewe utafanyiwa. utakuja porwa juu juu, yetu macho, hukuwa na haja ya kumchukua jumla jumla ruksa wa 4 ungekubali ukawa mke wa pili angalau.
Ha ha ha ha wewe ni mkorofi wewe umefata nini huku??? Mie nimekuja kuwapigania huku niko kila kona lol.Duh!! I can't believe it!! Kumbe na wewe huwa unakuja huku kwenye majukwaa legelege!!.... Mimi nimezoea kukuona kule kwenye mada nzito nzito tu!
Basi Aisha amuachie Mungu, na aendelee na Maisha yake, Na aangalie ndoa yake ya sasa, kwani hakuna chozi la mwanamke lisilokuwa na malipo, iko siko atafurahi na roho yake, Malipo ni duniani akhera kwenda hesabu. Halaf Aisha mwenyewe ni Mzuri zaid ya Dida wanaume nao hawaeleweki muda mwengine wanataka nini?Ndugu wa Aisha wako Tanga, walivyoona mtoto wao anakauka na stress, wakamtafutia mwanamme amuoe.
Kumbuka Issa alianza kuwa na Dida huku akiwa ndani ya ndoa na Aisha.
Issa alikata mguu kwake.
Kwa mtindo huh jukwaa linarudi enzi zake za ubuyu first classHahahahaaaa haloooo jukwaa limekuwaje tamu jamani?
Hebu njooni bwana tupige umbea.
Nifah huyu dida kanitoka ka ushuzi wa ngomani kwa kweli halafu anajionaga high class na alivo mweeeh Mungu anisameheShkamoo DaJane....
Sio kwa kichambo hiki,ngoja nikatoe tongotongo nirudi tupige umbea vizuri.
Nina mengi ya kujazia kuhusu Dida.
Charity Ms.Lincoln Diva Beyonce piteni huku.
Si kweli.Jamiiforums kwenye mambo kama haya ukiambatanisha na picha hazifungukagi...
Hapana kaboomDiva unadate na mutu ya congo nn?
Hahaaaaaaaa sio tu jipua huyo dida hana shape na hizo jipua noma sanaHuyu Isaa hata hajielewi kaacha mwanamke mzuri mkewe wa ndoa, kwenda kuhangaika na wanawake wasio na sura wala umbo, sasa huyu Vicky kampendea nini? Au kwa sababu wamefanana pua?! Mungu apishilie mbali muunganiko wa pua za wazazi zisimfikie mtoto maana itakuwa jipua.
OK..Mana zile Mu cute na Mubovu nikajua labda shem kaanza kukurithisha lafudhi yaoHapana kaboom