kwanza nikushangae bibi wewe sura kama umejikojolea mdomoni kijuso para ww kazi.kufatilia ya watu km maisha yamekushinda uje nikuajiri kufua chupi za wanangu kwanza chefuuuuu mwanamke mnuka nuka,ww uso haya bibi kijuso mwenye shape ya mraba
eti nawe una mume au.kimeo tena made in mombasa mmeo bila magomeni pale hampati rizki utafika level ya dida wew mwenye vigisu mpaka huko ndani
Sura imekuparama km unapiga chensoooo
loohh bibi mimi nyota yangu ya maji kila mahali nipo eeeehhh
nimezaliwa mjini nimekulia mjini mtoto wa pwani originallleeee sasa kama ww ulikuja na mafuriko ujipange bibi upo hapo kijuso?
kwa taarifa yako dida ndo kwanza anazidi kunawiri kama mnazi sasa weye ulozoea kunongwa utajibeba
utaisoma kaniki japo haina maandishi
heheheheeeeeee kanyamaza kasuku seuze ww kuku
Halooooo kwa taarifa yako mwambie aisha bwana harudi tena mweeeer utasota sana kafika kwa fundi wa mahaba mamaa wa nakshi nakshi
kama alikuwa kanyimwa kijiji bas huku kakabidhiwa dunia
mrudishe mkoleni akafundwe upya mwali kigego huyo
na huyo bwana wake ni hb wa kichaga alofundwa jandoni akafundika sasa ww mwenye nyota ya lami mweusi kuliko giza utaishiwa na visigino
kwa safari za umbeya
pole sana bibiii
to youuuuuuu
UTAISHIA KUBWATA MWENZAKO ANALISHWA NYAMA NA MISHKAKI YA MBUZI IKIKUUMA KAJITOE KAFARA