Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

kwanza nikushangae bibi wewe sura kama umejikojolea mdomoni kijuso para ww kazi.kufatilia ya watu km maisha yamekushinda uje nikuajiri kufua chupi za wanangu kwanza chefuuuuu mwanamke mnuka nuka,ww uso haya bibi kijuso mwenye shape ya mraba
eti nawe una mume au.kimeo tena made in mombasa mmeo bila magomeni pale hampati rizki utafika level ya dida wew mwenye vigisu mpaka huko ndani

Sura imekuparama km unapiga chensoooo
loohh bibi mimi nyota yangu ya maji kila mahali nipo eeeehhh

nimezaliwa mjini nimekulia mjini mtoto wa pwani originallleeee sasa kama ww ulikuja na mafuriko ujipange bibi upo hapo kijuso?

kwa taarifa yako dida ndo kwanza anazidi kunawiri kama mnazi sasa weye ulozoea kunongwa utajibeba
utaisoma kaniki japo haina maandishi

heheheheeeeeee kanyamaza kasuku seuze ww kuku
Halooooo kwa taarifa yako mwambie aisha bwana harudi tena mweeeer utasota sana kafika kwa fundi wa mahaba mamaa wa nakshi nakshi
kama alikuwa kanyimwa kijiji bas huku kakabidhiwa dunia
mrudishe mkoleni akafundwe upya mwali kigego huyo
na huyo bwana wake ni hb wa kichaga alofundwa jandoni akafundika sasa ww mwenye nyota ya lami mweusi kuliko giza utaishiwa na visigino
kwa safari za umbeya
pole sana bibiii
to youuuuuuu
UTAISHIA KUBWATA MWENZAKO ANALISHWA NYAMA NA MISHKAKI YA MBUZI IKIKUUMA KAJITOE KAFARA
Una roho ya paka weye ila bado naona unakula kichapo tu hapa jitahidi upate hata jero la maji ya kunywa
 
Jamani warda sio ndugu yake WA damu . Wamekutana mjini mjini pia warda simuathirika kapewa ukimwi na kiongozi WA bend moja ya taarabu.
 
Jamani warda sio ndugu yake WA damu . Wamekutana mjini mjini pia warda simuathirika kapewa ukimwi na kiongozi WA bend moja ya taarabu.
Yesu kristu wa Nazareti, yeuwiiiiiiiii yeuwiiiiiiiiiiiiiiiie, auwiiiiiiiiiiiiiiiie , jamaniiiiii
 
Jamani warda sio ndugu yake WA damu . Wamekutana mjini mjini pia warda simuathirika kapewa ukimwi na kiongozi WA bend moja ya taarabu.
Makubwaaa huu ubuyu mpya kabisa. Huyo Warda anavyomsifiaga Dida sasa utadhani mumewe na kuna wakati niliona insta kapost kamzawadia warda gari aina ya ist. sijui ndo zawadi ya kusagana vzr. Mjini kuna mambo.
 
Makubwaaa huu ubuyu mpya kabisa. Huyo Warda anavyomsifiaga Dida sasa utadhani mumewe na kuna wakati niliona insta kapost kamzawadia warda gari aina ya ist. sijui ndo zawadi ya kusagana vzr. Mjini kuna mambo.
Kazi kweli kweli. Huu ubuyu ni mtamu kama asali.
 
Dida nampendajeee
 

Attachments

  • 1460903279764.jpg
    1460903279764.jpg
    7.6 KB · Views: 80
Huyo katuni anayejiita DA JANE namsubiri hapa nimchambe mpaka aone kimbembe maana kazoea kuloweshwa sasa nitamlowesha mie
 
Huyo katuni anayejiita DA JANE namsubiri hapa nimchambe mpaka aone kimbembe maana kazoea kuloweshwa sasa nitamlowesha mie
Yeuwiiiiiiiiii, auwiiiiiiiiiiiii, kelewiiiiiiiie, kelewiiiiiii, yauwiiiiiiii
 
Jamani warda sio ndugu yake WA damu . Wamekutana mjini mjini pia warda simuathirika kapewa ukimwi na kiongozi WA bend moja ya taarabu.
Tobaaaaaa!
Tumekwisha jamani!
Sio yule jamaa mwenye wake wengi kweli?
 
Makubwaaa huu ubuyu mpya kabisa. Huyo Warda anavyomsifiaga Dida sasa utadhani mumewe na kuna wakati niliona insta kapost kamzawadia warda gari aina ya ist. sijui ndo zawadi ya kusagana vzr. Mjini kuna mambo.
Mhhhhhh Dida na msura ule kama kitimoto dume sijui wanawezaje!
Mimi kukaa nae hata nusu saa siwezi,nitamcheka bure nikaanzisha varangati.
 
Back
Top Bottom