Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Hii Jinsi gani inaonesha watangazaji wetu wanna upeo mdogo.
Katika kipindi cha Mashamsham ya Pwani cha Wasafi FM, Didas akiwa Arusha alipigiwa simu na mtangazaji mwenzake na kumuuliza mlima Kilimanjaro unapatikana mkoa gani, akajibu Moshi.
Hapa Kuna tatizo kubwa kwa watangazaji wetu katika upeo wa kujua mambo muhimu.
Ajabu hata mtangazaji aliyeuliza swali hakuona kosa hilo.
Katika kipindi cha Mashamsham ya Pwani cha Wasafi FM, Didas akiwa Arusha alipigiwa simu na mtangazaji mwenzake na kumuuliza mlima Kilimanjaro unapatikana mkoa gani, akajibu Moshi.
Hapa Kuna tatizo kubwa kwa watangazaji wetu katika upeo wa kujua mambo muhimu.
Ajabu hata mtangazaji aliyeuliza swali hakuona kosa hilo.