Dida Shaibu wa Wasafi FM kama Mwijaku. Upeo wao ni mdogo sana

Dida Shaibu wa Wasafi FM kama Mwijaku. Upeo wao ni mdogo sana

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Hii Jinsi gani inaonesha watangazaji wetu wanna upeo mdogo.

Katika kipindi cha Mashamsham ya Pwani cha Wasafi FM, Didas akiwa Arusha alipigiwa simu na mtangazaji mwenzake na kumuuliza mlima Kilimanjaro unapatikana mkoa gani, akajibu Moshi.

Hapa Kuna tatizo kubwa kwa watangazaji wetu katika upeo wa kujua mambo muhimu.

Ajabu hata mtangazaji aliyeuliza swali hakuona kosa hilo.
 
Watangazaji wengi haswa wasafi ni wapumbavu,wajinga na malimbukeni hivo hivo kwa clouds nnmeacha kusikiliza radio na kuangalia t.v za bongo zaidi ya miaka 10 sasa kutokana na hawa wapuuzi.
 
Nilikuwa mpenzi sana wa hizi Radio station hasa Clouds Fm, ila siku hizi naweza kukaa hata miezi 10 bila kuwasikiliza hawa watu hasa walipoanza kuchukua waigizaji wa kila aina kuwafanya watangazaji wao!! Jitu kama mwijaku unalipaje maiki litangazie umma ujinga!?
 
Huwa nasikitika kwenye inshu za hesabu,unakuta watangazaji wote waliopo kwenye kipindi wanashindwa kutoa jibu la hesabu linalokuwa linaongelewa
 
Kuna uhusiano gani wa ushoga na utangazaji?

Ukichunguza media nyingi zimeajiri watangazaji mashoga, au tuseme wengi wenye kashfa ya ushoga…. sijawahi kuelewa hii dhana.
 
Kuna uhusiano gani wa ushoga na utangazaji?

Ukichunguza media nyingi zimeajiri watangazaji mashoga, au tuseme wengi wenye kashfa ya ushoga…. sijawahi kuelewa hii dhana.
Bongo wenye pesa wengi ni mabasha, ndio sababu ukichunguza Bongo watu smart kichwani ndio wanaotaabika na maisha na hawatoki, lakini hii mibwabwa inabadiri magari tu.
 
Watangazaji wengi haswa wasafi ni wapumbavu,wajinga na malimbukeni hivo hivo kwa clouds nnmeacha kusikiliza radio na kuangalia t.v za bongo zaidi ya miaka 10 sasa kutokana na hawa wapuuzi.
Wasafi inamiaka minne we umeacha kusikiliza miaka 10 iliyopita,Sasa umejuaje Kama hao watangazaji ni malimbukeni ilihali hausikilizi?
 
Wasafi inamiaka minne we umeacha kusikiliza miaka 10 iliyopita,Sasa umejuaje Kama hao watangazaji ni malimbukeni ilihali hausikilizi?
Watangazaji waliopo wasafi hawajaanzia kazi apo walikua clouds,times fm na radio nyingine huko nako walikua wapuuzi
 
Kwakweli kwa watu wenye uelewa mzuri watangazaji wengi wa tv na radio ni viraka vitupu hakuna kitu.
 
ila mwijaku amepuyanga sana😂😂😂😂

ety mlika lkm upo Arusha😀😀😀
 
Back
Top Bottom