Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ni aibu sana kuwasikiliza. Siku hizi wasikilizaji wanauelewa mkubwa kuliko watangazaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio wako connected na wenye nchi. Nchi hii kusoma sana na kujua mengi hakuna faida.Hii Jinsi gani inaonesha watangazaji wetu wanna upeo mdogo.
Katika kipindi cha Mashamsham ya Pwani cha Wasafi FM, Didas akiwa Arusha alipigiwa simu na mtangazaji mwenzake na kumuuliza mlima Kilimanjaro unapatikana mkoa gani, akajibu Moshi.
Hapa Kuna tatizo kubwa kwa watangazaji wetu katika upeo wa kujua mambo muhimu.
Ajabu hata mtangazaji aliyeuliza swali hakuona kosa hilo.
Kuna siku babra wa clouds alikuwa anajadiliana na wenzie kuhusu ukienda kuoga huwa unakojoa pia.Nilimsikia mtangazaji wa Radio Bongo anaongea wakati yuko hewani," Wenzetu wazungu wakienda chooni wakishamaliza, lazima wageuke kwanza kuangalia kama kuna tatizo lolote kiafya".
Mi nikajiuliza mara mbili hivi kuna watu huko wamekaa kumsikiliza Boyaboya kama huyu na kipindi chake kila siku?
HahahaBongo wenye pesa wengi ni mabasha, ndio sababu ukichunguza Bongo watu smart kichwani ndio wanaotaabika na maisha na hawatoki, lakini hii mibwabwa inabadiri magari tu.
Kitaaluma yenyewe hawanatatizo ni kuajiri wafanyakazi wa cheap cheap
We huoni kuna mpaka watangazaji wanaitwa bungeniHizi redio inabidi wizara husika iingilie kati kuweka regulations maana huku tunakoenda tunatengeneza kizazi chenye uelewa mdogo
Maana unakuta watangazaji wanajadili mambo ya kitaalam kabisa bila kuwa na utaalam huo.
Yafaa kama mjadala unahusu jambo la kitaalam aitwe mtaalam kulitolea ufafanuzi na sio mtu kuongea na kupotosha jamii.
Radio hizo haziangali elimu wao kama unajua kubwabwaja basi umepitaHivi Juma lokole nae ana elimu gani wakuu?
Kuonekana unakubalika haimaanishi kuwa unachokifanya ni sahihi.We huoni kuna mpaka watangazaji wanaitwa bungeni
Ina maana wanaonekana wanakubalika
Ova
Mkuu hii comment yako![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ukishaweza kupiga makelele tu nchi hii baaasi umeshamaliza kila kituu...kwenye utangazaji, uigizaji, siasa, uchambuzi, uchawa we unapeta tuu.
Huwajui vizuri wewe kaeni nao kwenye bia huone ka watazungusha round kazi yao kuombaomba tuVichwa vyao vitupu
Ila cha ajabu mambo yao yanaenda
Haha
Bongo bana
Ova