ELIMU ya bongo hiyo.. mtu anamaliza na kufaulu la7 ilihali hajui mambo ya msingi, mwanafunzi ana afadhali kuliko mwalimu kuhusu uelewa wa mambo ya msingi!
Moshi, Musoma, Bukoba inajulikana ni mikoa kwa Watanzania wengi na la7 walifaulu, unashindwaje kuhitimisha kwamba tatizo ni walimu sio tu wanafunzi?