Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Lacazette apewe muda wa kutosha. Halafu pia wachezaji walioachwa kama Rabiot,Toliso,Martial,Kurzawa,Coman, NK.ni wa kuangaliwa sana ni kizazi cha thamani hichi.Lacazette ameanza kuitwa 2013 ila mpaka sasa ana goli 3 tu.
Benzema alishaondolewa muda mrefuMastaa wwngine wa Ufaransa walioachwa ni pamoja na:
Karim Benzema
Kingsley Coman
Aymeric Laporte
Ben Yedder
Hao ambao wanafunga kwa miguu yote mbona hawajamzidi magoli??? Njoo na takwimu acha maneno makavu, wenzetu wanacheki takwimu za mchezaji na sio mboyoyoSawa Giroud ana rekodi nzuri kuliko wenzie. Kama asipopewa mipira ya vichwa hatutalala njaa?
Foward au Striker anayefunga kwa miguu pamoja na kichwa ndiyo chaguo sahihi.
Tunahitaji plan B,
Utakuwa huijui france wewe, kwani europa nani alikuwa anaanza?Hivi Kante anaanza au ni sub?
Tolisso yupi unayesema hajaitwa????Lacazette apewe muda wa kutosha. Halafu pia wachezaji walioachwa kama Rabiot,Toliso,Martial,Kurzawa,Coman, NK.ni wa kuangaliwa sana ni kizazi cha thamani hichi.
Nategemea ZIDANE kuirithi mikoba ya Deschamps baadaye.
Ni kweli mkuu, kila kocha ana mfumo wake unaoruhusu baadhi ya wachezaji na wengine unawakataaMakocha Nao Wanakuwa Na Interesting Zao
hahahaha halafu anasema eti ameanza kuishabikia tangu 1998 hahahhaaUtakuwa huijui france wewe, kwani europa nani alikuwa anaanza?
Na mimi naomba unijibu mbona neymar kaitwa licha ya kuwa nje kwa miezi kibao???Sasa mkuu kama hicho ndo kigezo, vipi kwa mabeki maana ukiangalia Mendy alikua nje muda mrefu sana karudi juzi juzi tu lakini kaitwa, what's so special about him?
Mourinho kasababisha yote hayo kwa kumnyima fundi martial muda Wa kutosha .. France wameacha mafundi kibaoNimeangalia kikosi cha timu ya Taifa ya Ufaransa kilichoitwa kwa ajili ya world cup, binafsi sijaridhishwa na maamuzi kadhaa yaliyofanywa na Kocha wa timu hiyo, Didier Deschamps.
Kwanza, hajamuita Winga hatari na mwenye kasi Anthony Martial. Wote ni mashahidi hakuna ambaye hajui uwezo wa Martial katika wing ya kushoto ambaye ana mabao 21 na assist 13 katika michunao yote msimu huu. Kocha amemuita Thomas Lemar ambaye hakuwa na msimu mzuri kikosini Monaco.
Pili, amemuacha Kurzawa ambaye ni full back wa kushoto wa PSG akaja kumuita Ben Mendy ambaye ndio kwanza ametoka majeruhi ya muda mrefu. Hapa amefanya gambling.
Tatu, sijajua ni kwanini amemuacha fundi wa mpira Adrien Rabiot na kujaza watumia nguvu kama akina Matuidi na Kante.
Lacazette nae hajajumuishwa sijui ni kwanini, badala yake ameitwa Super Olivier Giroud.
Nimalizie tu, japo Anthony Martial hakupata muda wa kutosha klabuni chini Jose Mourinho, ila namba hazidanganyi kwa dakika chache alizocheza amefunga magoli mengi na kutengeneza assist za kutosha, Martial alistahili kuitwa timu ya Taifa, kwakuwa hao walioitwa sioni wa kumuweka benchi.
View attachment 780561
kila kitu analaumiwa mourinho, martial badala ya ku concentrate kwenye mpira akili yake yote kaihamishia kwa mke wake, anastahili anayoyapitia.M
Mourinho kasababisha yote hayo kwa kumnyima fundi martial muda Wa kutosha .. France wameacha mafundi kibao
Martial
Zouma
Yedder
Payet
Rabiot
Costril
Toliso na Rabiot nani fundi?Yote tisa kumi ni Adrein rabiot nguzo ya PSG
Payet ni majeruhi.Kuachwa kwa payet na adrien rabiot,ndo kumeniuma zaidi.
Martial angeitwa badala ya nani??kwa huyu dogo kutoitwa amestahili.France imekamilika bhana pale mbele
Endeleeni kujidanganya Giroud kwenye timu ya taifa ni hatari sana amefunga magoli mengi sana kocha anamuamini sana tofauti na sisi tunavyomchukulia.Giroud ni mzigo