Diego Costa vs A. Morata

Diego Costa vs A. Morata

mkuu ila naye ana score magoli flani ya vichwaaa
Sawa, but unakosaje magoli matatu na zaidi ukiwa one on one, na si mechi moja tu, angalia mechi ya Stoke city pia, several times

Striker ghali kiasi kile kwa timu kubwa kama Chelsea, dunia nzima inamdiscuss yeye tu kwa sasa
 
Nyinyi mna mahaba na drogba..labda kwa sababu ni muafrica mwenzetu..hoja zangu ni..angalia msimu wa kwanza wa drogba na Diego walifunga goli ngap ngap??nan alikuwa wa kwanza kufikisha goli 50..??angalia ratio ya goal per game..kama Diego angekaa at least misimu saba tuu..angekuwa all time goal scorer wa Chelsea...Costa ni jeshi la mtu mmoja...
Utazungumziaje mafanikio hewa ya Costa kwamba angekaa muda mrefu angekuwa kama Drogba au zaidi?

Unaweza ukawa mzuri kwa misimu 2 au 1 tu ukafifia kabisa, kwahiyo kulinganisha mafanikio ya Drogba na Costa pale Chelsea ni tusi kubwa sana kwa Drogba
 
Si kwel..fanya ww upembuzi wako..msimu wa kwanza Drogba alifunga goli ngap??na Costa alifunga ngap??angalia ratio ya goal per game..costa alikuwa ni jeshi la mtu mmoja akiwa mbele..Drogba alikaa muda mrefu..kama Costa angekaa misimu kumi kama didier..angevunja record ya lamps..
Sure kaka

Drogba was good, pretty good, ni legend, ila costa ni habari nyingine pia.

Mind that, lampard ndio all time goal scoarer wa chelsea na sio drogba, why ??.

Angekuwapo costa, tungekuwa ngoma droo na man city nakuambia.
 
Nyinyi mna mahaba na drogba..labda kwa sababu ni muafrica mwenzetu..hoja zangu ni..angalia msimu wa kwanza wa drogba na Diego walifunga goli ngap ngap??nan alikuwa wa kwanza kufikisha goli 50..??angalia ratio ya goal per game..kama Diego angekaa at least misimu saba tuu..angekuwa all time goal scorer wa Chelsea...Costa ni jeshi la mtu mmoja...
We soka unaijua, nakupa tano
 
Utazungumziaje mafanikio hewa ya Costa kwamba angekaa muda mrefu angekuwa kama Drogba au zaidi?

Unaweza ukawa mzuri kwa misimu 2 au 1 tu ukafifia kabisa, kwahiyo kulinganisha mafanikio ya Drogba na Costa pale Chelsea ni tusi kubwa sana kwa Drogba
Ndio maana nikakuuliza angalia misim yao ya kwanza epl..angalia ratio ya goal per game..angalia who was the first to reach 50 goals in fewer game..kwa misim mitatu aliyokaa chelsea Costa scored many goals compared to drogba' s first three seasons in epl..fuatilia
 
Sure kaka

Drogba was good, pretty good, ni legend, ila costa ni habari nyingine pia.

Mind that, lampard ndio all time goal scoarer wa chelsea na sio drogba, why ??.

Angekuwapo costa, tungekuwa ngoma droo na man city nakuambia.
Watu wana mahaba na Drogba tuu..mm naijua chelsea ingawa sio muhenga..ila nilianza kuishabikia since 1996..tena first game kuona ilikuwa na Leicester chelsea walifungwa 3 kwa 2...nimewaona mastraika weng wa Chelsea..kina flo,sutton,viali,hasselbaink,mutu,crespo,eidur,drogba,Costa, na sasa alvaro...ila trust me..costa ni prolific kama ilivyokuwa kwa Jimmy Floyd hasselbaink....drogba hawafikii hawa..ingawa haimuondolei didier legendary status yake..amefunga goli muhim kwenye history ya chelsea..amefunga kwenye final nying pale Wembley..
 
Kwan morata kafanyeje wadau jana maaana kila kona duniani wanamlaumu morata.. hebu tuambiane kafanyeje..?
 
Tatizo la wabongo wana tabia ya uyanga na usimba sasa wanapeleka hadi ulaya morata hadi sasa ana goli ngapi na na ana misimu mingapi
 
Mimi ni Shabiki wa Man U ila kulinganisha Drogba na Costa ni Makosa makubwa tena ya kinidhamu.

Drogba ni Chupa iliyopasuka ukikanyaga vibaya lazima ukuchane.
Costa has the best strike rate of any chelsea player since English football's top flight rebranded itself as a premier league in 1992..This debate is not about drogba the legend ,though,it's Drogba the player..Costa's goals helped chelsea to win tittle in his first season in epl..bu Garry Hayes of four four two..
 
Wakuuu herry ya mwaka mpya...
Kwanza kabisa mimi nimekuwa shabiki mkubwa sana wa Timu pendwa ya Chelsea.
Huwa nakaa na kutafakari sababu iliyomfanya Conte amuuze Costa na kuchukua Morata ilhali Costa alikuwa ana score magoli mengi sana, pia alisaidia chelsea kutwaa ubingwa msimu ulio pita
Naomba wazoefu mnijulishe vigezo alivyotumiaa Kocha huyu
Naomba kuwasilisha...
Costa mapema sana aliomba aondoke chelsea hapo Conte aliendelea kushawishi mpaka msimu ulipoisha ndo Conte akasema Costa hatakuwepo kwenye mpango wake msimu ujao. So kutokuwa na maelewano mazuri ndo sababu ya Costa kuondoka Chesea ila pia ukumbuke Costa ni mkorofi acha aende.
 
Chelsea wamekua wanakosea kwenye usajili na siku zote wanatumia hela nyingi kuliko kiwango Cha mchezaji
Hazard twamkumbatia tu ila zaidi ya kukimbia kimbia han msaada
 
Back
Top Bottom