Diego Costa vs A. Morata

Diego Costa vs A. Morata

Wakuu heri ya mwaka mpya...
Kwanza kabisa mimi nimekuwa shabiki mkubwa sana wa timu pendwa ya Chelsea.

Huwa nakaa na kutafakari sababu iliyomfanya Conte amuuze Costa na kuchukua Morata ilihali Costa alikuwa ana score magoli mengi sana, pia alisaidia Chelsea kutwaa ubingwa msimu uliopita.

Naomba wazoefu mnijulishe vigezo alivyotumiaa Kocha huyu
Naomba kuwasilisha...
Hata mimi ni shabiki wa Chelsea kindakindaki. Kama Diego Costa angekuwepo leo hii tungekuwa tunaongoza ligi.
Inasemekana Conte aligombana na Costa mwaka jana mwezi wa kwanza ambapo Costa alitaka kuuzwa ili aende China, lakini Conte akambania.
 
Hata mimi ni shabiki wa Chelsea kindakindaki. Kama Diego Costa angekuwepo leo hii tungekuwa tunaongoza ligi.
Inasemekana Conte aligombana na Costa mwaka jana mwezi wa kwanza ambapo Costa alitaka kuuzwa ili aende China, lakini Conte akambania.
nimekuelewa mkuu, naskiaa china soka linalipa sanaa kulee mkuu
 
Conte amefanya mistake sana kumuacha costa..ni bora angekuwa na wote..costa and morata...Costa ni zaidi ya Drogba..basi tuu kwa sababu Drogba alikaa miaka mingi..
Acha matusi.. In this world, there is only one king king of football worldwide king didier yaves drogba, Costa ni mvulana anayejua.. Ila DD ni Mwanaume wa shoka ktk soka
 
Costa kauzwa kwasababu za kinidhamu ikumbukwe hakuna mchezaji alie juu ya timu na kwa kuongezea kumfananisha Costa na Morata ni dharau kwa Costa vilevile kumfananisha Drogba na Costa ni dharau kwa Drogba.
 
Si kwel..fanya ww upembuzi wako..msimu wa kwanza Drogba alifunga goli ngap??na Costa alifunga ngap??angalia ratio ya goal per game..costa alikuwa ni jeshi la mtu mmoja akiwa mbele..Drogba alikaa muda mrefu..kama Costa angekaa misimu kumi kama didier..angevunja record ya lamps..
Mkuuu kukaa misimu kadhaa c tija mbona hakuwahi jupo kuwa top scorer wa ligi au hilo pia lahitaj upembuz dider alkuwa ana vitu zaidi ya costa hebu tafuta game ya uefa Valencia vs Chelsea iliyo kuwa mbovu mpaka ikachukua ubingwa uone
 
Mkuuu kukaa misimu kadhaa c tija mbona hakuwahi jupo kuwa top scorer wa ligi au hilo pia lahitaj upembuz dider alkuwa ana vitu zaidi ya costa hebu tafuta game ya uefa Valencia vs Chelsea iliyo kuwa mbovu mpaka ikachukua ubingwa uone
Kikosi cha Chelsea siku hiyo..cech..ivanovic..luiz..terry..cole..romeu..mata..ramires..meileres..sturidge..dididier..matokeo Chelsea 3..valencia 0..scorers didier 2..na ramires..je hiki ni kikos kibovu??uhitaji kunitajia mech moja kunionesha didier ni nan..yeye ni legend..lkn hakuwa prolific kama costa..diego has the best strike rate than any other chelsea player in epl...fuatilia hoja zangu vizuri..
 
Costa kauzwa kwasababu za kinidhamu ikumbukwe hakuna mchezaji alie juu ya timu na kwa kuongezea kumfananisha Costa na Morata ni dharau kwa Costa vilevile kumfananisha Drogba na Costa ni dharau kwa Drogba.
Well said
 
Nimefatilia huu mjadala tangu mwanzo, nimegundua watu wanashindwa kutofautisha mapenzi na ukweli. Watu hudanganya na kulazimisha yale wanayodhani yanawafurahisha lakini NAMBA huwa hazidanganyi. Drogba ni strika mkali ingawa alishindwa kufikia idadi ya magoli ya kiungo Lampard pale Chelsea, ukilinganisha miaka mitatu ya mwanzo ya mastraika wa Chelsea hakuna ambae anamfikia Costa. Hii ina maana kuwa Costa ni mshambuliaji mkali kuliko wote (Rejea mambo aliyoyafanya Atletico hadi Chelsea ikamuona, pia rejea kwa nini Brazil walikuwa wanamtaka arudi kwenye kikosi cha Selecao)

Ni mimi shinji kuchangia mada hii
 
shida ya costa ni nidhamu
Diego Costa anamiliki vitu viwili tu..... Yes....! Anamiliki kichwa chenye uchizi wake, na pia anamiliki miguu yenye magoli yake...... Ni nadra Sana kumuona akitumia kimojawapo ndani ya dk 90 za mchezo. Mara zote hufanya mchanganyo wa matukio ya kichwa na matukio ya Miguu.

Timu inahitaji zaidi miguu yake kuliko kichwa chake..... Anafunga goli anapata second yellow card na inakuwa red card baada ya kushangilia kwa mashabiki......
 
Mechi tatu, magoli matatu mnyama, Costa anapiga kazi kama kawa
 
Konte alitumia akili za uck ktk kumuacha huyu Monster Almando Diego lagato da Silva Costa..Huyu ni mnyama anajya sana na kwa Epl inahitaji straikers typical ya Costa wajanja..wakorofi...wahuni watakao pambana na defenders kama kina Baely...Otamend...Vijk....n.k
 
Back
Top Bottom