kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
- Thread starter
-
- #41
harzad ni. next level yule mzee sema bado nyotaa haija mnyookeaa vizuriiiChelsea wamekua wanakosea kwenye usajili na siku zote wanatumia hela nyingi kuliko kiwango Cha mchezaji
Hazard twamkumbatia tu ila zaidi ya kukimbia kimbia han msaada
hapoo kidogoo unaongeaa, ila kumbuka wanyama kama Kadabra anazeeka na utamuu wakeeeUmri wake wa kushaini unaelekea mwisho
Hazard tuwe wakweli zaidi ya dribling na mbio hana cha zaidi na ndio maana kashindwa shinehapoo kidogoo unaongeaa, ila kumbuka wanyama kama Kadabra anazeeka na utamuu wakeee
kwaninili. mchezajii ashine nini. kinahitajikaa???Hazard tuwe wakweli zaidi ya dribling na mbio hana cha zaidi na ndio maana kashindwa shine
Mkuu umenivunja mbavu moja!kama yule konokono TORRES
Conte ukatoliki wake ndo ulisababisha mpaka kumuuza costa,sasa ujeuri wa nini wakati mtu anakufanyia kila unachomuagiza???alitakiwa aangalie kama jamaa kazi anaiweza au lah,sasa anatka kila mtu amnyenyekee kama pengo kwa Ngosha???Kocha wenu si alikuwa anasema Costa jeuri sana, ila ni kweli jamaa kiburi na mkorofi ila kwenye swala la ku score magoli yupo vizuri.
mkuu pondamali maefikajee hapaaa kwenye huu uzi???Conte ukatoliki wake ndo ulisababisha mpaka kumuuza costa,sasa ujeuri wa nini wakati mtu anakufanyia kila unachomuagiza???alitakiwa aangalie kama jamaa kazi anaiweza au lah,sasa anatka kila mtu amnyenyekee kama pengo kwa Ngosha???
Mimi ni shabiki wa Man U, silipendagi li Costa kutokana na tabia zake, ila nakiri jamaa ni nyoko golini, mi nadhani level zake ni za Suarez, Drogba tunampenda tu ila hawezi kufunga goli nyingi kwa muda mfupi kama hao kenge wawiliSure kaka
Drogba was good, pretty good, ni legend, ila costa ni habari nyingine pia.
Mind that, lampard ndio all time goal scoarer wa chelsea na sio drogba, why ??.
Angekuwapo costa, tungekuwa ngoma droo na man city nakuambia.
Wengi watakubishia kwakuwa Drogba ni kipenzi cha wengi ila una pointNyinyi mna mahaba na drogba..labda kwa sababu ni muafrica mwenzetu..hoja zangu ni..angalia msimu wa kwanza wa drogba na Diego walifunga goli ngap ngap??nan alikuwa wa kwanza kufikisha goli 50..??angalia ratio ya goal per game..kama Diego angekaa at least misimu saba tuu..angekuwa all time goal scorer wa Chelsea...Costa ni jeshi la mtu mmoja...
The same as Man UnitedWachezaji wote Chelsea imewahi nunua kwa bei ghali hawajawahi fanya la maana
Hazard ni mchezaji mzuri sana, ni kati ya wachezaji watatu bora kabisa epl kwa zaidi ya miaka mi5 mfululizoChelsea wamekua wanakosea kwenye usajili na siku zote wanatumia hela nyingi kuliko kiwango Cha mchezaji
Hazard twamkumbatia tu ila zaidi ya kukimbia kimbia han msaada
nakuunga mkono mkuu, harzard ana skills nyingii sanaa kwa kweliiHazard ni mchezaji mzuri sana, ni kati ya wachezaji watatu bora kabisa epl kwa zaidi ya miaka mi5 mfululizo
Una uhakika gani huyo costa angemaintain stata zake?Si kwel..fanya ww upembuzi wako..msimu wa kwanza Drogba alifunga goli ngap??na Costa alifunga ngap??angalia ratio ya goal per game..costa alikuwa ni jeshi la mtu mmoja akiwa mbele..Drogba alikaa muda mrefu..kama Costa angekaa misimu kumi kama didier..angevunja record ya lamps..
unaweza kuwalinganisha kulingana na nafasi wachezazo. lkinii katika kufanya mambo makubwa chelseaa Drogba ninbaba yake costaUna uhakika gani huyo costa angemaintain stata zake?
Kimsingi drogba na costa huwezi kuwalinganisha hata siku moja.
Mimi nafikiri sio kila striker anafaa kulinganishwa na striker mwingine.Ingawa ni kawaida kulinganisha strikers!!unaweza kuwalinganisha kulingana na nafasi wachezazo. lkinii katika kufanya mambo makubwa chelseaa Drogba ninbaba yake costa