Kwahiyo kabatini hakuna europa hata moja? Kwa taarifa yako liver imechukua makombe yote iliyowahi kushirikiTakwimu hazidanganyi naomba tufuatane kuona liver imeshiriki mara ngapi hilo kombe unalodharau leo
2009- 10 Europa
2010-11 Europa
11-12 Hamkuingia ulaya
12-13 Europa
13-14 Hamkuingia ulaya
14-15 Europa
15-16 Europa
16-17 Hamkuingia ulaya
17-18 Champions league
18-19 Champions league
Unaweza ona kombe mlioshiriki zaidi ni Europa league sasa matusi kwa Europa mnatoa wapi?? More so hata Europa hamkuweza shinda hata mara moja!!
Shitty team