Dilemma ya January, na watu wa Tanga

Dilemma ya January, na watu wa Tanga

Find out Mama yake January ni wa kabila gani na dini gani and then find out Mke wake anatokea kabila gani na dini yake ni ipi.
Mleta mada nikushauri ukae mbali saana na ukabila na udini
Hajui kuwa Mama yake ni mkristo na ni Mhaya. Hajui kuwa Mama yake ni ndugu na Kanidali Rugambwa. Hajui mke wake ni mkristo na mchagga. January mwenyewe hata haeleweki ni dini gani.

Mazindu Msambule
 
Tanga imeganyika sana ki siasa, Lushoto ambako wanapakana na Wapare na ndiyo kupelekwa kaskazini Chadema na CCM wana mchuano mkali sana. 2015 isingekuwa nao la mkono jimbo la Bumbuli lisingekuwa CCM.


Kuna Wadigo wa Tanga na Wadigo wa Mombasa. Wadigo wengi walikuwa CUF na sasa wako ACT.

Tanga na Pemba safari hufanyika kwa mashua, watu wana undugu wa karibu sana. Wengi huku ni ACT.
Good narration
 
Mimi simfahamu January. Ila naona bado hajakomaa kuwa kiongozi mzuri. Na bado hatumjui the real January.

Kwa haraka haraka naona kwamba kuna kipindi alipokuwa madarakani ali kuwa kama ana wachukia wakristo in general na wachagga pia. Sasa sijui kama alikuwa ana wachukia kweli au kama alikuwa ana jidai ana wachukia (lakini kumbe hawa chukii).

Halafu anaonekana kidoogo kama ni mtu artificial na anaependa uelite.

January ana reflect dilemma ya watu wa Tanga na udhaifu wao kwenye siasa za CCM Tanzania.

Makabila ya pwani yenye nguvu ndani ya CCM ni watu wa mkoa wa Dar, mkoa wa Pwani, Unguja, na hawa wanashirikiana na watu wa kanda ya ziwa ambao some times ni ndugu zao kutokana na migrations za biashara ya utumwa.

Watu wa Tanga kama wasambaa wana undugu wa mbaaali na wachagga na wapare. Ingawa wasambaa hawapendi hii connection, kwasababu haiwasaidii kisiasa ndani ya CCM. Wapemba wa asili ambao sio washirazi au waarabu wana undugu wa mbaali na watu wa Tanga. Watu watanga pia wana undugu wa mbaaali na watu wa Mombasa.

Watu wa pwani wa mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara na Pemba wana ushawishi mdogo ndani ya CCM. Wanaweza kupata vyeo, lakini wana ushawishi mdogo.

Halafu makabila mengine ya pwani yana dhani kwamba watu wa Tanga wana majivuno. Kwa sababu labda watu wa Tanga in general wana sura nzuri kuliko watu wengine wa pwani.

So mtu wa Tanga kuwa rais wa CCM bado ni ngumu.

Solution ni watu wa Tanga kujikubali, na kutokujionea aibu. Na kuwa a politically independent block ndani ya CCM with equal power na hayo makabila mengine ya pwani.

Njia moja wapo ni kujitegemea kiuchumi. Hayo mashamba makubwa ya mkonge yazalishe pia mazao ya chakula kama sunflower, mahindi na maharagwe. Hii ni muhimu sana sana.

Halafu sehemu ndogo ya hayo mashamba makubwa irudishwe kwa wenyeji wa Tanga kwa usawa (na sio baadhi ya wazawa wapate mashamba makubwa huku wengine wakipata mashamba madogo).

Watu wa Tanga waboreshe elimu ya msingi na sekondari mpaka form 6 pamoja na VETA. Wawe pia na utamaduni wa kufanya biashara (halali na nzuri). Wawekeze pia kwenye utalii na viwanda. Wawe na tabia nzuri za kimaadili na wawe na ujirani mwema.

Mipaka ya miji ya Korogwe na Tanga mjini iongezwe.

Baadhi ya watu wa Tanga wasi uchukie ukristo. Baadhi yao wasi wanyanyapae wachagga.


Kwanza wengi hamjui January ni mbunge wa huko Lushoto. Lushoto sio Pwani kabisa ni milimani karibu na mkoa wa Kilimanjaro na wanapakana na milima ya upareni. Hivyo utamaduni wa watu wa Lushoto ni tofauti sana na utamaduni wa watu wa Tanga mjini au maeneo ya kule. Ni kwamba tu kwasababu usaambaani kuna waislamu wengi ndiyo maana watu wanadikiri hivi. Hivyo January si Mtanga wa hivyo. Vilevile wasambaa ni makabila mengi mchanganyiko watu waliamia kule kwasababu ya hali ya hewa kuwa nzuri hasa kwa kilimo ni makabila kibao wapare, wazigua ... ndiyo wamejaa
 
Kwa maneno haya angekuwa anaseme mtu mwingine anasemwa katika nchi hii angekuwa amepewe kesi ya utakasishaji wa fedha, shida hapa ni kuwa fedha zilipigwa na zinapigwa hadi sasa lakini wanaotafutwa ni watu wa kikundi kimoja tu wengine wanaachwa naomba mungu 2025 apatikane raisi kama mandela ambaye ataacha visasi, shida siyo upigaji wa fedha ni maandalizi ya uongozi.
 
Sio sahihi kusingizia mtu kwa kumufitinisha kwa watu kwa ukabila,udini na ukanda.Hata kama humupendi January usimupachike uovu wako ukategemea watu wata support.''The Apparel proclaims the man'' Mapambo,Mavazi au rather maandishi yako yaonyesha wewe umejaa chuki inayomuchukiza Mwenyezi Mungu.
 
Tanga imeganyika sana ki siasa, Lushoto ambako wanapakana na Wapare na ndiyo kuelekea kaskazini Chadema na CCM wana mchuano mkali sana. 2015 isingekuwa ao la mkono jimbo la Bumbuli lisingekuwa CCM.


Kuna Wadigo wa Tanga na Wadigo wa Mombasa. Wadigo wengi walikuwa CUF na sasa wako ACT.

Tanga na Pemba safari hufanyika kwa mashua, watu wana undugu wa karibu sana. Wengi huku ni ACT.
Sema Cuf dada,ACT anaijua nani?ipo zanzibar tu
 
Mimi simfahamu January. Ila naona bado hajakomaa kuwa kiongozi mzuri. Na bado hatumjui the real January.

Kwa haraka haraka naona kwamba kuna kipindi alipokuwa madarakani ali kuwa kama ana wachukia wakristo in general na wachagga pia. Sasa sijui kama alikuwa ana wachukia kweli au kama alikuwa ana jidai ana wachukia (lakini kumbe hawa chukii).

Halafu anaonekana kidoogo kama ni mtu artificial na anaependa uelite.

January ana reflect dilemma ya watu wa Tanga na udhaifu wao kwenye siasa za CCM Tanzania.

Makabila ya pwani yenye nguvu ndani ya CCM ni watu wa mkoa wa Dar, mkoa wa Pwani, Unguja, na hawa wanashirikiana na watu wa kanda ya ziwa ambao some times ni ndugu zao kutokana na migrations za biashara ya utumwa.

Watu wa Tanga kama wasambaa wana undugu wa mbaaali na wachagga na wapare. Ingawa wasambaa hawapendi hii connection, kwasababu haiwasaidii kisiasa ndani ya CCM. Wapemba wa asili ambao sio washirazi au waarabu wana undugu wa mbaali na watu wa Tanga. Watu watanga pia wana undugu wa mbaaali na watu wa Mombasa.

Watu wa pwani wa mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara na Pemba wana ushawishi mdogo ndani ya CCM. Wanaweza kupata vyeo, lakini wana ushawishi mdogo.

Halafu makabila mengine ya pwani yana dhani kwamba watu wa Tanga wana majivuno. Kwa sababu labda watu wa Tanga in general wana sura nzuri kuliko watu wengine wa pwani.

So mtu wa Tanga kuwa rais wa CCM bado ni ngumu.

Solution ni watu wa Tanga kujikubali, na kutokujionea aibu. Na kuwa a politically independent block ndani ya CCM with equal power na hayo makabila mengine ya pwani.

Njia moja wapo ni kujitegemea kiuchumi. Hayo mashamba makubwa ya mkonge yazalishe pia mazao ya chakula kama sunflower, mahindi na maharagwe. Hii ni muhimu sana sana.

Halafu sehemu ndogo ya hayo mashamba makubwa irudishwe kwa wenyeji wa Tanga kwa usawa (na sio baadhi ya wazawa wapate mashamba makubwa huku wengine wakipata mashamba madogo).

Watu wa Tanga waboreshe elimu ya msingi na sekondari mpaka form 6 pamoja na VETA. Wawe pia na utamaduni wa kufanya biashara (halali na nzuri). Wawekeze pia kwenye utalii na viwanda. Wawe na tabia nzuri za kimaadili na wawe na ujirani mwema.

Mipaka ya miji ya Korogwe na Tanga mjini iongezwe.

Baadhi ya watu wa Tanga wasi uchukie ukristo. Baadhi yao wasi wanyanyapae wachagga.
 
Mnawaza nini mnapotaka kuandika? Jitahidi kutengeneza hoja zenye maana u reflex u great thinker
 
Atachukiaje wakristo wakati mama yake ni mkristo?
 
Lengo la huu uzi ni kumuonea huruma January pamoja na watu wa Tanga. Na pia kumshauri January akomae zaidi na aimprove zaidi, na arekebishe mapungufu yake. Na pia ajue hali halisi ya kisiri siri ya siasa za Tanzania.

Uzi huu hauna lengo la kupromote migawanyiko ya aina yeyote kwenye jamii.

 
Mimi simfahamu January. Ila naona bado hajakomaa kuwa kiongozi mzuri. Na bado hatumjui the real January.

Kwa haraka haraka naona kwamba kuna kipindi alipokuwa madarakani ali kuwa kama ana wachukia wakristo in general na wachagga pia. Sasa sijui kama alikuwa ana wachukia kweli au kama alikuwa ana jidai ana wachukia (lakini kumbe hawa chukii).

Halafu anaonekana kidoogo kama ni mtu artificial na anaependa uelite.

January ana reflect dilemma ya watu wa Tanga na udhaifu wao kwenye siasa za CCM Tanzania.

Makabila ya pwani yenye nguvu ndani ya CCM ni watu wa mkoa wa Dar, mkoa wa Pwani, Unguja, na hawa wanashirikiana na watu wa kanda ya ziwa ambao some times ni ndugu zao kutokana na migrations za biashara ya utumwa.

Watu wa Tanga kama wasambaa wana undugu wa mbaaali na wachagga na wapare. Ingawa wasambaa hawapendi hii connection, kwasababu haiwasaidii kisiasa ndani ya CCM. Wapemba wa asili ambao sio washirazi au waarabu wana undugu wa mbaali na watu wa Tanga. Watu watanga pia wana undugu wa mbaaali na watu wa Mombasa.

Watu wa pwani wa mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara na Pemba wana ushawishi mdogo ndani ya CCM. Wanaweza kupata vyeo, lakini wana ushawishi mdogo.

Halafu makabila mengine ya pwani yana dhani kwamba watu wa Tanga wana majivuno. Kwa sababu labda watu wa Tanga in general wana sura nzuri kuliko watu wengine wa pwani.

So mtu wa Tanga kuwa rais wa CCM bado ni ngumu.

Solution ni watu wa Tanga kujikubali, na kutokujionea aibu. Na kuwa a politically independent block ndani ya CCM with equal power na hayo makabila mengine ya pwani.

Njia moja wapo ni kujitegemea kiuchumi. Hayo mashamba makubwa ya mkonge yazalishe pia mazao ya chakula kama sunflower, mahindi na maharagwe. Hii ni muhimu sana sana.

Halafu sehemu ndogo ya hayo mashamba makubwa irudishwe kwa wenyeji wa Tanga kwa usawa (na sio baadhi ya wazawa wapate mashamba makubwa huku wengine wakipata mashamba madogo).

Watu wa Tanga waboreshe elimu ya msingi na sekondari mpaka form 6 pamoja na VETA. Wawe pia na utamaduni wa kufanya biashara (halali na nzuri). Wawekeze pia kwenye utalii na viwanda. Wawe na tabia nzuri za kimaadili na wawe na ujirani mwema.

Mipaka ya miji ya Korogwe na Tanga mjini iongezwe.

Baadhi ya watu wa Tanga wasi uchukie ukristo. Baadhi yao wasi wanyanyapae wachagga.
Pia wapunguze vilinge (Vibanda vya msonge vilivyosimikwa bendera tatu za kaniki moja nyeusi, nyeupe na nyekundu) kwenye nyumba/makazi zao.
 
Back
Top Bottom