Dilemma ya January, na watu wa Tanga

Chuki ya January dhidi ya wakristo itamtafuna sana
 
Je watu wanapenda sera gani za kiuchumi zifanyike kule Tanga?
 
Je watu wanapenda sera gani za kiuchumi zifanyike kule Tanga?
Unahangaika kama kuku anayetaka kutaga vile, mara January, mara ukabila,mara udini,mara tusidiscus watu, tatizo nini? A certified idiot, that's what you are.
 
Sawa Bashite eeh
 
Mama yake January Mkristo
Ni kweli. Nimesoma mahali kwamba mama yake ana undugu na Cardinal wa zamani aliyekuwa anaitwa Laurean Rugambwa.

Mojawapo ya vyuo vikuu viwili alivosoma January (kule Marekani) kina milikiwa na shirika la kanisa katoliki.

Inavyo onekana saa100 atakuwa rais mpaka 2030. Baada ya hapo atapokelewa na mkristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…