Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

mkarimani feki

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
302
Reaction score
1,212
Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.

Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.

Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!

Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…