mkarimani feki
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 302
- 1,212
ni vyema halaliHaram au halal tuanzie hapo
hawa wengi wnadeal na black marketSiri ya mafanikio imejificha kwenye mkaa
ngoja waje, maana wengine hatuioni nafuu licha ya kwamba tunajituma sanaWatu mliofanikiwa tuawasubiri mtupe Miongozo.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
nipe connection chief ,na vp assurance ya kutusua ni uhakika?Kuwa kibarua katika usafirishaji makaa ya mawe somalia-ethiopia.
Haram au halal tuanzie hapo
hata hizo deal haram weka hapa tuone inakuwaje kuwajeSwali la msingi sana hili[emoji28] Mabro wengi wanaovuma mjini walianza na Haram kisha wakahamia kwenye Halal na Capital walio-generate kwenye Haram. Hakuna atakaekwambia ukweli wa hustle zake.
Mkuu kazi ili kuwa nzuri Sema roho mkononi mwanzo mwisho.....alshabaab walitibua yale ma biashara ya wakubwa basi ndo ikawa Hivyo tena.nipe connection chief ,na vp assurance ya kutusua ni uhakika?
pamoja chiefMkuu kazi ili kuwa nzuri Sema roho mkononi mwanzo mwisho.....alshabaab walitibua yale ma biashara ya wakubwa basi ndo ikawa Hivyo tena.
Mzee try atleast to aim a bit higher....2ml cant make us move anywhere.2m per week chief! not such little!
Mzee itasaidia japo haitakuvusha.Wewe ukiipata sasahivi 2M (hata kama unazo) haitokusaidia chochote?