Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Wewe hujui deals haramu? Kauze/kabebe unga utatajirika haraka sana, kaibe benki kuna mabilioni kule pigo moja tu ushatoka,nenda mbugani Kaue tembo utatoka haraka sana.
Tembo hauwezi kumuua kwa rungu, itahitajika siraha. Huko benki pia huwezi kwenda na rungu! Kubeba sembe inahitajika koneksheni!
Hebu mtu anipe dili hata la sembe PM
 
Tembo hauwezi kumuua kwa rungu, itahitajika siraha. Huko benki pia huwezi kwenda na rungu! Kubeba sembe inahitajika koneksheni!
Hebu mtu anipe dili hata la sembe PM
Wewe unafikiri Kuna deal gani utaenda na kengele zako tu ukafanikiwa? Kubeba unga nenda na tumbo lako tu utabeba. Hata shamba lazima uwe na jembe.
Vifaa vya kazi vinakodishwa unalipa ukimaliza kazi.
 
Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.

Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.

Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!

Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
INGIA HAPA HUTAJUTA MAISHA YAKO UTAKUJA NIKUMBUKA DAIMA
BF SUMA PRODUCTS
Maneno zaidi nitext DM
 
Back
Top Bottom