Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Aseeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe"[emoji871]Tulia nikupe Dili la jamaa mmoja askari mkoa Fulani hapa Tanzania.
Dili likuwa hivi, kuna Kijiji Fulani katika huo mkoa kuna wafugaji wa Ngo'mbe sasa siku moja kukawa kuna Ngo'mbe wengi sana wameibiwa nadhani mnafahamu jamii za wafugaji.
Zile Ngo'mbe ziliibiwa maana jamii za wafugaji Huwa wana hizi tabia za kuibiana, basi ikapigwa simu kituo cha polisi Kijiji Fulani kuna wizi ya mifugo mingi , basi mapoti wakatoka kama sita na difenda mpaka uhuuuuu mpaka hapo kwenye Icho kijiji.
Basi polisi wale ikabidi waanze msako maana jamaa aliyebiwa mifugo ni msukuma na ana Ngo'mbe mpaka anasahau, basi wale mapoti waliendelea kutafuta mpaka Giza linaingia kwenye wengi lazima wapo wanaopata tamaa ndio kilitokea.
Wengine wakasema turudini hapa hakuna dalili halafu ni porini vbaya, wakasema nyinyi nendeni basi katika watu sita wakabaki watatu wale wenzao walikuja kuchukuliwa na bodaboda wao wakabaki na difenda.
Tafuta sana usiku kabsa wakawaona hao wajamaa walikuwa wamanga'ti wakawakamata.
Baada ya kuwakamata kuwabana wakasema sisi tunatumwa na boss wetu wakasema twendeni mmoja akasema unaweza ukaongea na boss ukavutwa waya boss akapokea, jamaa akasema boss tumekamatwa.
Boss akajibu shida nn hapo maliza kesi hiyo, akasema hawataki akasema nipe simu boss akapokea akasema mnataka shngap mapoti wakaanza kupanic ww unataka kutuonga boss hakuongea sana akasema kuna milioni200 hapa nataka tumalize jambo hilo daah kusikia vile wakaangaliana wakasema hata tufanye mpaka tuzeeke hatuipati.
Basi deal done likafanyika pale, makubaliano Jinsi ya pesa zao kuzipata.baada ya kutoka kule wakapanga wakisema tukifika tutasema tumewakosa.
Walivyorudi wakasema hivyo.
Huyo jamaa hapo katika mkoa wake amejenga hostel za watoto wa chuo, ana mabiashara ya Huduma za fedha mjini hapo kila sehemu. kutoka katika ile milion200
Alifanya miaka 3 mbele baadae akasema sababu za afya akaacha kazi huku usimamizi akiwapa watu ili wasimtilie shaka,
Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe
Gunia la Bangi mara mbili ya bei ya mahindi na Mchele...... Uza Bangi Kwa jumlaWakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.
Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.
Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!
Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Ukifuatilia vizuri kwenye ile video hakuna hati ya nyumba bali ni release form za magari TRA, msidanganyike na maisha ya mtandaoni.Uchawa,mtu hadi kajenga jijumba la 1.3b
Mzee wewe ulipiga dili gani ukatoboa.Hapa ndo naku kubali engineer 🤒, USI mchome sasa😀😂
Amini kwamba yoyote anaweza mtunuku.....Mmh labda ahongwe na mabasha zake,manake muonekano wake haeleweki yule jamaa,🤣🤣🤣
Mimi ni jobless pro max 😀, ma shangazi zako kina Joannah na Tayana-wog Wana jua🤣😂😀🤒Mzee wewe ulipiga dili gani ukatoboa.
Au ndo bado kuna mchongo unausikilizia😁😁
Acha tuendelee kuchungulia madili huenda kuna namna tunaweza chomoka mkuu.Mimi ni jobless pro max 😀, ma shangazi zako kina Joannah na Tayana-wog Wana jua🤣😂😀🤒
Huu ni unyanyasaji 😔Mimi ni jobless pro max 😀, ma shangazi zako kina Joannah na Tayana-wog Wana jua🤣😂😀🤒
Mzee wa got 😂🤣😁Mimi ni jobless pro max 😀, ma shangazi zako kina Joannah na Tayana-wog Wana jua🤣😂😀🤒
Unyanyasaji upi 😀🤣🤔Huu ni unyanyasaji 😔
Ni game of thrones 😀🤒, msi haribu series yetu🤣Mzee wa got 😂🤣😁
Ngoja niongee vizuri na Charles kilian anipe hata ya ulinzi au usimamizi 😀🤒Acha tuendelee kuchungulia madili huenda kuna namna tunaweza chomoka mkuu.
Hakuna lililowahi kuwa na mwanzo likakosa kuwa na mwisho.
Sawa jobless uliyetoboa😅Unyanyasaji upi 😀🤣🤔
😂🤣😁😁Ni game of thrones 😀🤒, msi haribu series yetu🤣
Karibu kaka 🤣😁😁Ngoja niongee vizuri na Charles kilian anipe hata ya ulinzi au usimamizi 😀🤒
😂😂😂Afande nipo tayari kufatilia vibaka kwenye huu uzi [emoji2955][emoji2955]
Asante kwa matusi yako🙄🤒, dah leo sisimizi naonekana mbwa😀😌Sawa jobless uliyetoboa😅