Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Fungua kanisa.
Hili Dili kuna Mama alinipaga Mchongo nikamtolea nje, kikubwa uwe bingwa wa kukariri vifungu vya biblia tu na kuvitolea ufafanuzi na uweze kua na uwezo wa kuwachota watu akili waweze kukusikiliza kwa uaminifu kwisha habari unakua Pastor mmoja mzuri haraka sana, kanisa unapewa, gari unapewa wahudumu unapewa nyumba unapewa kazi kwako kuuza maneno ya biblia alafu mnaokota Sadaka kwenye Lipa Namba na akaunti za Bank maisha yanaendelea ikinoga sana tunawauzia mpaka unga wa Sembe kwa bei ya juu unakua unga wa upako na mazombi watanunua,
 
Back
Top Bottom