Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nita kupigiiiaa muheshimiwa🤒, jobless nipate ka mkateKaribu kaka 🤣😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nita kupigiiiaa muheshimiwa🤒, jobless nipate ka mkateKaribu kaka 🤣😁😁
Hayo si ndo madili yenyewe bablai, uzuri ramani inasoma chuga.Ngoja niongee vizuri na Charles kilian anipe hata ya ulinzi au usimamizi 😀🤒
Arrgh chuga siendi😀🤣🙄, mwisho wangu dar ty🤣🤒Hayo si ndo madili yenyewe bablai, uzuri ramani inasoma chuga.
Yaaani ni kwenda kuishi na wadudu😅😅😅
deals kukutoa ngumu mkuu ila mshindo ndio kila kitu mshindo mmoja tu lazima mtaa mzima wakutambue umekuwa nani jina linabadilika unaitwa tajiri na wanna ukishafikia hatua hiyo baaaaasiii kwiiiiiiishaaaaaaa!Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.
Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.
Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!
Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Hiyo siri ndo tujuzane live bila chengautajiri ni Siri kati ya Mungu na Binadamu au kati ya Binadamu na shetani, nukta.
😅😅😅Asante kwa matusi yako🙄🤒, dah leo sisimizi naonekana mbwa😀😌
Ni kweli mzee Baba. Hicho kilikua kipindi kizuri cha kujitafuta.Michongo mingi ilikuwa kati ya miaka 2005 mpaka 2010 watu waliokuwa na jicho la tatu ndio hawa wanakula hela bila jasho miaka hii ya 2020's
yawezekanaUkifuatilia vizuri kwenye ile video hakuna hati ya nyumba bali ni release form za magari TRA, msidanganyike na maisha ya mtandaoni.
inspirational ,noted chiefNilianza kwenye machimbo ya madini ya dhahabu Lubumbashi sio powa wazee yaani full kunguni na kushinda njaaa maana congo vyakula vingi ni vya ajaaabu hadi ikapelekea kupata vidonda vya tumbo nilikuwa napiga zile mishe za kuwa apolo yaani unavaa zako tochi unaingia shimoni sasa Kuna siku tukaona mzigo mzito kule chini yaani full mawe yanang'aa sana aisee na Mimi si nikasema fursa hii hapa tulikuwa watu 6 tukachukuwa dhahabu zote maana ndo ilikuwa mara ya kwanza ule mgodi wa mkongoman kutoa dhahabu maana ulikuwa mpya tulivotoka yule bosi wetu alifurahi sana yaani siku hiyo sisi ndo tulipata dhahabu nyingi sana katika kugawana yule bosi aliiuza ile dhahabu bilioni 5 ila alivyagawa pesa aisee nilimuachia mungu maana alitupa Kila mtu milioni 50 ila sio mbaya maana nilitoka Tz kusaka pesa nikasema kuanzia Leo naacha hii kazi basi nikaanza kufungua mgahawa na sehemu ya kuonesha mpira pale Lubumbashi ilini ingizia sana pesa ila wale wenzangu walienda zao Paris France kuendelea kutafuta nikarudi zangu bongo na pesa kibao na nikarudi mererani kama bosi wa mgodi hapa nipo zangu home kigamboni na wife
nzuri sana mkuuDili sahihi kwa muda sahihi na watu sahihi,
Sijawahi kupiga dili la maana ila mpaka nimefika hapa leo maranyingi nimekua nikilipwa na wema wangu pamoja na kujua kuishi na walio fanikiwa basi, Mfano niliwahi kumsaidia dogo zaidi ya miezi mitatu bila kuwaza nitafaidika na nini kutoka kwake, hatuna undugu wala nini, sikua na uwezo wa kumwajili ila nilimnunulia chakula daily cha mchana, nilimwekea order kwa mama ntilie akawa akifika anakula mi nakuta bill, dogo akataseka ila akaja kufanikiwa kupata kazi kwenye kampuni ya logistics moja af mwarabu akamwachia office yote sababu ya kumwamini, sikumoja naona call dogo kanichek akanipa habari zake af na mimi kipind hiko niko mwisho, akanambia atanisaidia kwenye biashara yangu kunitolea product kariakoo prus usafiri juu yake, then nitakua namrudishia tuu ya mtaji akanipiga taff sana nikapona nikarudi kwenye ramani, mpaka leo dogo ndo boss wangu namuheshimu sana na yeye ananiheshimu sana na maisha yanaenda. Ninashuhuda kibao za kulipwa na wema wangu ila chukua huo.
hahaaaSawa jobless uliyetoboa😅
nikweli chiefNime subscribe huu uzi. Huenda nikapata idea ya mpigo mmoja tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa..Wewe hujui deals haramu? Kauze/kabebe unga utatajirika haraka sana, kaibe benki kuna mabilioni kule pigo moja tu ushatoka,nenda mbugani Kaue tembo utatoka haraka sana.