Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Very inspiring story! Ingawa polisi ni NYOKO!
 
Dahh! Nlkuwa na demu chotara wa kiarabu na kihindi pale... kwao Upanga (Dar es Salaam), kuna mwanaizaya mmoja ni daktari akamrubuni akanipokonya demu wangu nikaachwa 😭
Kuna Wanawake ni wazuri aiseeπŸ˜„, mmoja kaolewa mwaka Jana.
πŸ‘‰Aisee aliye oa ana faidi, maana ni zaidi ya mdoli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…