Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
anafikiri mchezoUnaona sifa kutajataja tu sio? Unadhani hayo hatuyajui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anafikiri mchezoUnaona sifa kutajataja tu sio? Unadhani hayo hatuyajui?
Ni Kweli Mimi ni jobless nudgu, we nipe mchongo tu.We unaishije kama miaka nenda miaka rudi still ni jobless nimewaza kauli yako naona kama unadanganya hivi.
Kama nani?Uchawa,mtu hadi kajenga jijumba la 1.3b
Very inspiring story! Ingawa polisi ni NYOKO!Tulia nikupe Dili la jamaa mmoja askari mkoa Fulani hapa Tanzania.
Dili likuwa hivi, kuna Kijiji Fulani katika huo mkoa kuna wafugaji wa Ngo'mbe sasa siku moja kukawa kuna Ngo'mbe wengi sana wameibiwa nadhani mnafahamu jamii za wafugaji.
Zile Ngo'mbe ziliibiwa maana jamii za wafugaji Huwa wana hizi tabia za kuibiana, basi ikapigwa simu kituo cha polisi Kijiji Fulani kuna wizi ya mifugo mingi , basi mapoti wakatoka kama sita na difenda mpaka uhuuuuu mpaka hapo kwenye Icho kijiji.
Basi polisi wale ikabidi waanze msako maana jamaa aliyebiwa mifugo ni msukuma na ana Ngo'mbe mpaka anasahau, basi wale mapoti waliendelea kutafuta mpaka Giza linaingia kwenye wengi lazima wapo wanaopata tamaa ndio kilitokea.
Wengine wakasema turudini hapa hakuna dalili halafu ni porini vbaya, wakasema nyinyi nendeni basi katika watu sita wakabaki watatu wale wenzao walikuja kuchukuliwa na bodaboda wao wakabaki na difenda.
Tafuta sana usiku kabsa wakawaona hao wajamaa walikuwa wamanga'ti wakawakamata.
Baada ya kuwakamata kuwabana wakasema sisi tunatumwa na boss wetu wakasema twendeni mmoja akasema unaweza ukaongea na boss ukavutwa waya boss akapokea, jamaa akasema boss tumekamatwa.
Boss akajibu shida nn hapo maliza kesi hiyo, akasema hawataki akasema nipe simu boss akapokea akasema mnataka shngap mapoti wakaanza kupanic ww unataka kutuonga boss hakuongea sana akasema kuna milioni200 hapa nataka tumalize jambo hilo daah kusikia vile wakaangaliana wakasema hata tufanye mpaka tuzeeke hatuipati.
Basi deal done likafanyika pale, makubaliano Jinsi ya pesa zao kuzipata.baada ya kutoka kule wakapanga wakisema tukifika tutasema tumewakosa.
Walivyorudi wakasema hivyo.
Huyo jamaa hapo katika mkoa wake amejenga hostel za watoto wa chuo, ana mabiashara ya Huduma za fedha mjini hapo kila sehemu. kutoka katika ile milion200
Alifanya miaka 3 mbele baadae akasema sababu za afya akaacha kazi huku usimamizi akiwapa watu ili wasimtilie shaka,
Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe
Kusema ni rahisi... thubutu sasa kutenda uone mziki wake 😂👍🏾Wewe hujui deals haramu? Kauze/kabebe unga utatajirika haraka sana, kaibe benki kuna mabilioni kule pigo moja tu ushatoka,nenda mbugani Kaue tembo utatoka haraka sana.
hajui mziki wakeeKusema ni rahisi... thubutu sasa kutenda uone mziki wake 😂👍🏾
Dahh! Nlkuwa na demu chotara wa kiarabu na kihindi pale... kwao Upanga (Dar es Salaam), kuna mwanaizaya mmoja ni daktari akamrubuni akanipokonya demu wangu nikaachwa 😭Bora niende pale kcmc Moshi, Kuna visu dunia hii🤒
Kuna Wanawake ni wazuri aisee😄, mmoja kaolewa mwaka Jana.Dahh! Nlkuwa na demu chotara wa kiarabu na kihindi pale... kwao Upanga (Dar es Salaam), kuna mwanaizaya mmoja ni daktari akamrubuni akanipokonya demu wangu nikaachwa 😭
Ani dm tu nimpe dili zenye akili bila kutumia nguvu nyingi wala kujiingiza kwenye mikono ya sheriaHapa ndo naku kubali engineer 🤒, USI mchome sasa😀😂
SadtruthNje ya ufiasadi hakuna dili utatoboa
Safi, hi ndo kitu Ina takiwa.Ani dm tu nimpe dili zenye akili bila kutumia nguvu nyingi wala kujiingiza kwenye mikono ya sheria
Ebana naweza pata mke pale?! 🤔Kuna Wanawake ni wazuri aisee😄, mmoja kaolewa mwaka Jana.
👉Aisee aliye oa ana faidi, maana ni zaidi ya mdoli
Ndugu manyanza nije pia mkuu?Ani dm tu nimpe dili zenye akili bila kutumia nguvu nyingi wala kujiingiza kwenye mikono ya sheria
Yaani una tafuta mwanamke mwenye maisha mazuri au???😄🤣🤔Ebana naweza pata mke pale?! 🤔
Achana na hawa wanaotaka madili watoboe... sisi tukipata tubebi twa aina ile tushatoboa 👍🏾
Mweupe mwenye nywele za singa... mtoto akikutazama hata kama ulikuwa jazba zinapotelea kusikojulikana 😄Yaani una tafuta mwanamke mwenye maisha mazuri au???😄🤣🤔
Tafuta hela, unaeza mpata- ila kumuoa ndo ikawa kipengele.Mweupe mwenye nywele za singa... mtoto akikutazama hata kama ulikuwa jazba zinapotelea kusikojulikana 😄
Wanaume tunapata tabu sana ...nimecheka balaa mkuu...Mweupe mwenye nywele za singa... mtoto akikutazama hata kama ulikuwa jazba zinapotelea kusikojulikana 😄
Wachache watakuelewa mkuu. Ila bonge la msemokipindi cha mvua madili mengi yanatoka ardhini
Unasoma vitu vya maana gafla unaanza kukutana na ujinga ujinga plus emoj za kutosha.We jamaa na wenzako mbona mnavamia uzi wa maana mnaanza kuujazia comments zisizo na maana. Simuende kwenye minyuzi yenu ya ajabu ajabu huko.