Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Kule kujitoa muhanga ndio kunalipa unapiga mshindo wako mmoja unatoka mazima. Acha kuogopa ogopa mtoto wa kiume lazima ujitoe ili uzifikie ndoto zako. Hii Tanzania ata pembe za ndovu unapita nazo barabarani tu bila shida, ukishikwa ujue umechomwa. Hakuna mtu anakuja tu anahisi una mali flani bila yeye kupewa taarifa. Hizi mambo ni upate watu sahihi

Kwenye utafutaji weka uoga pembeni jiamini hata kama umebeba bangi ondoa hofu
 
Pia kuna Morogoro mbele ya Ifakara nimekusahau jina,kuna basi hizi zinatokea stand ya Magufuli kwenda kule kila siku . Kuna mazao mengi tu kama kunde,choroko,ufuta, mahindi,mchele nk. Nilikua kule mwaka juzi,ukijicha kuanzia April mpaka October una mtaji wako wa kawaida lazima ukue. Kama unamiliki piki piki ya kukusanyia mzigo wako ndiyo itakua🔥🔥 zaidi.

Kuna watu wananua mazao na kwenda kuuza Ifakara,Kuna watu wanapeleka bidhaa kule kwenda kuuza kwenye minada nk .
Idete,namawala,mbingu au mngeta....ila kule mazo bwerere issues ni kupata masoko
 
Hamna mwenye ushuhuda wa Bitcoin ikiwa dolar moja alinunua bitcoin hata tano tu,na kuziacha kwenye wallet, leo hii anakula maisha kupitia Bitcoin.
Leo iko na thamani ya usd 42,000 kwa Bitcoin moja ,kuwa nazo tano tu tayari ungekuwa kwenye utajiri . Matazamio ni kwamba baada ya miaka 10 tena ,itafika dollar zaidi ya 250,000 ,Je hatuoni kuwa ni fursa ,kuwekeza kwenye technology hii ya pesa za mtandaoni?..au mchawi pesa (mtaji) ? Haya ila miaka 10 ijayo tutashangaana hapa hapa ...bei itakavyokuwa imepaa..,Muda ni shahidi mzuri tusubiri.
 
Mie nimepitia biashara nyingi haramu pamoja na kupata hela kiasi ila ilikuwa risk sana nusu kufa nusu kukamatwa ikabidi nibadiri mishe
Sa hivi nauza majeneza ndo angalau nimeweza kupata pesa ya bila presha!
Ukipata location nzuri hii biashara inalipa sana trust me.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Dah! Majeneza

Vp unapost matangazo mtandaoni?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Maisha huwa yana siri kubwa sana, na kufanikiwa kwa mtu sio lazima afanye deal wala nini

Mimi nafanikio yangu hayakupatikana kwa deal labda nikapata, hapana. Mafanikio nilipata kupitia connection ya sehemu mbili nilizokuwa nimezitega. 1 nyumba za ibada 2. Maeneo ya viwanja vya michezo. Ijapokuwa kati ya mitego 2 mmoja wa nyumba ya ibad ndio ilinipa kazi

Kwenye nyumba ya ibad mm kwangu ilikuwa kutengeneza connection ya watu wenye mafanikio maan niliamini kupitia wao na mimi nitafanikiw vile vile, kupiga story na kila mtu, utani wa hapa na pale, kusalimia kila mtu mpaka watoto, kubadilishana uzoefu na kila mtu kwalengo lakujua yeye anafanya nini na mimi nafanya nini.

Hamadi mwisho wa siku connection nikapata ya mtu ambaye tulikuwa tumeanz tengenez urafiki n sikujua kumbe yeye ndio atakuja kuwa foreman wangu, baad yakunipa nafasi katika kampuni nilipo.

Urahisi au kufahamiana huko kulitengeneza mazingira ya mimi kupata kazi hiyo kwa sababu kuu moja " uwaminifu na ukweli". Jamaa alikuwa ni mtu akikuuliza swali leo baada ya wiki mbili atakuuliza swali hilohilo kwa namba nyingine kwa lengo lakukupima je uumkweli wa yale unyoyaongoa!

Baada yakupata kazi ndio akaja kuniambia katika watu wakweli na mwaminifu aliyewahigi kuombwa nao ajira mimi nilikuwa mmoja wapo.
 
Hamna mwenye ushuhuda wa Bitcoin ikiwa dolar moja alinunua bitcoin hata tano tu,na kuziacha kwenye wallet, leo hii anakula maisha kupitia Bitcoin.
Leo iko na thamani ya usd 42,000 kwa Bitcoin moja ,kuwa nazo tano tu tayari ungekuwa kwenye utajiri . Matazamio ni kwamba baada ya miaka 10 tena ,itafika dollar zaidi ya 250,000 ,Je hatuoni kuwa ni fursa ,kuwekeza kwenye technology hii ya pesa za mtandaoni?..au mchawi pesa (mtaji) ? Haya ila miaka 10 ijayo tutashangaana hapa hapa ...bei itakavyokuwa imepaa..,Muda ni shahidi mzuri tusubiri.
Aliyetusua kwa Bitcoin ni Bongo zozo pekee.

Sa hivi ana travel the world daily.

Mwamba sijui siri yake ni ipi?
 
Hizo shughuli haram nime-escort sana bidhaa border to border ukiangukiwa tu tambua kuna mtu kakuuza huwa sio rahisi kukamatwa na mfukoni jitahidi uwe vizuri na gari ndogo iwepo, telekeza mzigo hata mwezi 1 then rudi kiaina kama sio riziki yako achana nao kuepusha mengine kikubwa uwe free na ujue ni wapi ulikosea
deal za kiume hizi
 
Utajiri una siri nyingi, mbaya zaidi watu matajiri hawapo tayari kukwambia hata iweje.
Wanakutia tu moyo, ooh fanya kazi kwa bidii. Jitume
Ila nyuma ya pazia ni balaa na nusu
Kuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siri

mfano mimi nafanya biashara vinywaji soda, mimi uwa najitahidi kidogo ukilinganisha na washindani wenzangu
Msimu wa kiangazi soda zinakuwa adimu uwa tunapandisha bei ili kupata faida walau sababu ukifata faida waliyo kupangia kampuni kutoboa inakuwa ngumu
Biashara imenoga kuna mshindani anashusha bei ukizingatia umemzidi mtaji, ukimhoji anadai kafokewa na kiongozi wa kampuni ana abuse bei mpaka unajiuliza kwani mtaji kapewa na kampuni?
Je mtu kama huyu wa kumpa dili? Kafokea kidogo ameshakata tamaa, siku ukimpa mbinu za kupata mzigo anakuchoma.
 
Kuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siri

mfano mimi nafanya biashara vinywaji soda, mimi uwa najitahidi kidogo ukilinganisha na washindani wenzangu
Msimu wa kiangazi soda zinakuwa adimu uwa tunapandisha bei ili kupata faida walau sababu ukifata faida waliyo kupangia kampuni kutoboa inakuwa ngumu
Biashara imenoga kuna mshindani anashusha bei ukizingatia umemzidi mtaji, ukimhoji anadai kafokewa na kiongozi wa kampuni ana abuse bei mpaka unajiuliza kwani mtaji kapewa na kampuni?
Je mtu kama huyu wa kumpa dili? Kafokea kidogo ameshakata tamaa, siku ukimpa mbinu za kupata mzigo anakuchoma.
nimekusoma mkuu
 
Kuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siri

mfano mimi nafanya biashara vinywaji soda, mimi uwa najitahidi kidogo ukilinganisha na washindani wenzangu
Msimu wa kiangazi soda zinakuwa adimu uwa tunapandisha bei ili kupata faida walau sababu ukifata faida waliyo kupangia kampuni kutoboa inakuwa ngumu
Biashara imenoga kuna mshindani anashusha bei ukizingatia umemzidi mtaji, ukimhoji anadai kafokewa na kiongozi wa kampuni ana abuse bei mpaka unajiuliza kwani mtaji kapewa na kampuni?
Je mtu kama huyu wa kumpa dili? Kafokea kidogo ameshakata tamaa, siku ukimpa mbinu za kupata mzigo anakuchoma.
Mim nataman kufungua biashara ya vinywaji naweza karibia pm
 
Kuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siri

mfano mimi nafanya biashara vinywaji soda, mimi uwa najitahidi kidogo ukilinganisha na washindani wenzangu
Msimu wa kiangazi soda zinakuwa adimu uwa tunapandisha bei ili kupata faida walau sababu ukifata faida waliyo kupangia kampuni kutoboa inakuwa ngumu
Biashara imenoga kuna mshindani anashusha bei ukizingatia umemzidi mtaji, ukimhoji anadai kafokewa na kiongozi wa kampuni ana abuse bei mpaka unajiuliza kwani mtaji kapewa na kampuni?
Je mtu kama huyu wa kumpa dili? Kafokea kidogo ameshakata tamaa, siku ukimpa mbinu za kupata mzigo anakuchoma.
Mim nataman kufungua biashara ya vinywaji naweza karibia pm
 
Back
Top Bottom