Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Hii Tanzania kusafirisha bangi kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni rahisi sana. Mimi ningepata connection ya wapi natoa na wapi nauza hii kitu ningeifanya.
Kwani hili la bangi lina ugumu gani wakuuu? Maana naendeshaga gari Dsm hadi Mza, Arusha hadi Dom, naweza njia nzima nisimamishwe na trafik, ikitokea ni mara moja moja pia tena ukiwatangulizia elf 5 mkononi hawahitaj hata kuendelea kuongea na ww.

Je huo muda ukiwa umejaza bangi kwenye boot si unatamba tu au?
 
Hii Tanzania kusafirisha bangi kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni rahisi sana. Mimi ningepata connection ya wapi natoa na wapi nauza hii kitu ningeifanya.

Mkuu sio bangi tu. Halamu yoyo kusafirisha ni rahisi, juzi nimetoka tabora mpaka dar nagari hakuna ata seemu moja nimeo gari ikisachiwa. Kifupi ukiona umekamatwa ujue kanamtu umezinguana nae kakuchomesha..
 
Kama utarudi itabidi niwe mwanafunzi wako kwa vitendo kabisa.
Bila shaka chief,kwenye kutafuta pesa changamoto haziishii. Mwaka jana nimekimbia sana Malawi tz mpaka mtaji ukakua,nikaja pande hizi na maharage nikauza. Baada ya hapo nikapakia mzigo kuja Tanzania,dereva akakimbia na tani 30 za gazeti Mozambique. Imagine being from zero to hero to zero again ndani ya mwaka mmoja😓😓.

Mwezi November nimeanza kujitafuta tena hoping for a happy ending this time .Mali iliyopotea ni zaidi ya m40,ukiona unapitia magumu sana kumbuka mtaji namba 1 ni afya .
 
Pia kuna Morogoro mbele ya Ifakara nimekusahau jina,kuna basi hizi zinatokea stand ya Magufuli kwenda kule kila siku . Kuna mazao mengi tu kama kunde,choroko,ufuta, mahindi,mchele nk. Nilikua kule mwaka juzi,ukijicha kuanzia April mpaka October una mtaji wako wa kawaida lazima ukue. Kama unamiliki piki piki ya kukusanyia mzigo wako ndiyo itakua🔥🔥 zaidi.

Kuna watu wananua mazao na kwenda kuuza Ifakara,Kuna watu wanapeleka bidhaa kule kwenda kuuza kwenye minada nk .
 
Mambo makubwa haya, yanahutaj hustling madame, sio kutafuta wazee wastaaf na madanga.

Moral if the story wengi wa wanawake wanafanikiwa kwa kubebwa kupitia hivyo nilivyotaja hapo juu, wachache mnooo wana real historia ya kufanikiwa
YES!!!
Hii ndio ukweli mtupu hagau
Sisi wanawake huwa hatuna hustling za kuumiza kichwa.
Japo ukimkuta mwanamke ana hustle basi ujue ni mpambanaji haswaa!!
 
Kule kujitoa muhanga ndio kunalipa unapiga mshindo wako mmoja unatoka mazima. Acha kuogopa ogopa mtoto wa kiume lazima ujitoe ili uzifikie ndoto zako. Hii Tanzania ata pembe za ndovu unapita nazo barabarani tu bila shida, ukishikwa ujue umechomwa. Hakuna mtu anakuja tu anahisi una mali flani bila yeye kupewa taarifa. Hizi mambo ni upate watu sahihi
Ukikamtwa ni miaka 30 na hakuna dhamana, risk ni kubwa.
 
Mkuu niko kwenye hali kama yako nami nimechoma mtaji nilio kuwa nao ndio nipo najitafuta upya. Sema mkuu kuchoma mtaji ni kawaida tu wala usife moyo, kama vipi hiyo April njoo tukimbize kwenye hizo nafaka. Nafaka iko poa na una tengeneza mtaji mzuri tu.
Bila shaka chief,kwenye kutafuta pesa changamoto haziishii. Mwaka jana nimekimbia sana Malawi tz mpaka mtaji ukakua,nikaja pande hizi na maharage nikauza. Baada ya hapo nikapakia mzigo kuja Tanzania,dereva akakimbia na tani 30 za gazeti Mozambique. Imagine being from zero to hero to zero again ndani ya mwaka mmoja[emoji29][emoji29].

Mwezi November nimeanza kujitafuta tena hoping for a happy ending this time .Mali iliyopotea ni zaidi ya m40,ukiona unapitia magumu sana kumbuka mtaji namba 1 ni afya .
 
Tunatofautiana, kuna mwengine hiyo ni ya umeme tu anaotumia nyumbani kwake au mboga ya siku mbili tatu

Kwa mwengine ni mtaji ambao unaweza kumtoa kimaisha na akaishi kwa amani mkono ukienda kinywani katika maisha yake yote yaliyobakia duniani yeye na uzao wake
Halafu hapo 2m ni kwa wiki. Maana yake 8m kwa mwezi.
 
Uchawa,mtu hadi kajenga jijumba la 1.3b
kuna risk za uchawa hasa kuliwa

Mkuu niko kwenye hali kama yako nami nimechoma mtaji nilio kuwa nao ndio nipo najitafuta upya. Sema mkuu kuchoma mtaji ni kawaida tu wala usife moyo, kama vipi hiyo April njoo tukimbize kwenye hizo nafaka. Nafaka iko poa na una tengeneza mtaji mzuri tu.
Salute mkuu SEMA mtaji ukikata linakua Kama funzo uwezi kuludia makosa yale Yale. Au sio
 
Back
Top Bottom