Kule kujitoa muhanga ndio kunalipa unapiga mshindo wako mmoja unatoka mazima. Acha kuogopa ogopa mtoto wa kiume lazima ujitoe ili uzifikie ndoto zako. Hii Tanzania ata pembe za ndovu unapita nazo barabarani tu bila shida, ukishikwa ujue umechomwa. Hakuna mtu anakuja tu anahisi una mali flani bila yeye kupewa taarifa. Hizi mambo ni upate watu sahihi
Na itakuwa Tarime ndio border yako ilikuwa Mkuu
Kupitia kazi nikapata mume...mume akaniupgrade hahahaaaMimi baada ya kupata kazi ndo nikatusua inshort elimu ndo imenisaidia
Idete,namawala,mbingu au mngeta....ila kule mazo bwerere issues ni kupata masokoPia kuna Morogoro mbele ya Ifakara nimekusahau jina,kuna basi hizi zinatokea stand ya Magufuli kwenda kule kila siku . Kuna mazao mengi tu kama kunde,choroko,ufuta, mahindi,mchele nk. Nilikua kule mwaka juzi,ukijicha kuanzia April mpaka October una mtaji wako wa kawaida lazima ukue. Kama unamiliki piki piki ya kukusanyia mzigo wako ndiyo itakua🔥🔥 zaidi.
Kuna watu wananua mazao na kwenda kuuza Ifakara,Kuna watu wanapeleka bidhaa kule kwenda kuuza kwenye minada nk .
[emoji23][emoji23]ni vyema halali
lakini kwa usawa huu weka lolote tuone nafuu ikowapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nimepitia biashara nyingi haramu pamoja na kupata hela kiasi ila ilikuwa risk sana nusu kufa nusu kukamatwa ikabidi nibadiri mishe
Sa hivi nauza majeneza ndo angalau nimeweza kupata pesa ya bila presha!
Ukipata location nzuri hii biashara inalipa sana trust me.
Kama unajua kuna balaa nyuma yake basi siri waijuaUtajiri una siri nyingi, mbaya zaidi watu matajiri hawapo tayari kukwambia hata iweje.
Wanakutia tu moyo, ooh fanya kazi kwa bidii. Jitume
Ila nyuma ya pazia ni balaa na nusu
Yees,hii njia inaenda kilosa mpepo kote huko ni mgodi ukifika msimu wa mazao .Idete,namawala,mbingu au mngeta....ila kule mazo bwerere issues ni kupata masoko
Aliyetusua kwa Bitcoin ni Bongo zozo pekee.Hamna mwenye ushuhuda wa Bitcoin ikiwa dolar moja alinunua bitcoin hata tano tu,na kuziacha kwenye wallet, leo hii anakula maisha kupitia Bitcoin.
Leo iko na thamani ya usd 42,000 kwa Bitcoin moja ,kuwa nazo tano tu tayari ungekuwa kwenye utajiri . Matazamio ni kwamba baada ya miaka 10 tena ,itafika dollar zaidi ya 250,000 ,Je hatuoni kuwa ni fursa ,kuwekeza kwenye technology hii ya pesa za mtandaoni?..au mchawi pesa (mtaji) ? Haya ila miaka 10 ijayo tutashangaana hapa hapa ...bei itakavyokuwa imepaa..,Muda ni shahidi mzuri tusubiri.
sahihi chiefUzi una madini mengi sana huu[emoji3578][emoji3578]
There's point will come I won't fear anything in finding money, only our Lord
Nothing permeant even the world itself
Wengine kuzisaka pesa kwetu starehe
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
deal za kiume hiziHizo shughuli haram nime-escort sana bidhaa border to border ukiangukiwa tu tambua kuna mtu kakuuza huwa sio rahisi kukamatwa na mfukoni jitahidi uwe vizuri na gari ndogo iwepo, telekeza mzigo hata mwezi 1 then rudi kiaina kama sio riziki yako achana nao kuepusha mengine kikubwa uwe free na ujue ni wapi ulikosea
Kuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siriUtajiri una siri nyingi, mbaya zaidi watu matajiri hawapo tayari kukwambia hata iweje.
Wanakutia tu moyo, ooh fanya kazi kwa bidii. Jitume
Ila nyuma ya pazia ni balaa na nusu
nimekusoma mkuuKuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siri
mfano mimi nafanya biashara vinywaji soda, mimi uwa najitahidi kidogo ukilinganisha na washindani wenzangu
Msimu wa kiangazi soda zinakuwa adimu uwa tunapandisha bei ili kupata faida walau sababu ukifata faida waliyo kupangia kampuni kutoboa inakuwa ngumu
Biashara imenoga kuna mshindani anashusha bei ukizingatia umemzidi mtaji, ukimhoji anadai kafokewa na kiongozi wa kampuni ana abuse bei mpaka unajiuliza kwani mtaji kapewa na kampuni?
Je mtu kama huyu wa kumpa dili? Kafokea kidogo ameshakata tamaa, siku ukimpa mbinu za kupata mzigo anakuchoma.
Mim nataman kufungua biashara ya vinywaji naweza karibia pmKuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siri
mfano mimi nafanya biashara vinywaji soda, mimi uwa najitahidi kidogo ukilinganisha na washindani wenzangu
Msimu wa kiangazi soda zinakuwa adimu uwa tunapandisha bei ili kupata faida walau sababu ukifata faida waliyo kupangia kampuni kutoboa inakuwa ngumu
Biashara imenoga kuna mshindani anashusha bei ukizingatia umemzidi mtaji, ukimhoji anadai kafokewa na kiongozi wa kampuni ana abuse bei mpaka unajiuliza kwani mtaji kapewa na kampuni?
Je mtu kama huyu wa kumpa dili? Kafokea kidogo ameshakata tamaa, siku ukimpa mbinu za kupata mzigo anakuchoma.
Mim nataman kufungua biashara ya vinywaji naweza karibia pmKuna muda matajiri wanatamani kutuambia ukweli ila wanaogopa sababu moyo wa uthubutu wa kujitoa muhanga tunakuwa hatuna, alaf hatuna siri
mfano mimi nafanya biashara vinywaji soda, mimi uwa najitahidi kidogo ukilinganisha na washindani wenzangu
Msimu wa kiangazi soda zinakuwa adimu uwa tunapandisha bei ili kupata faida walau sababu ukifata faida waliyo kupangia kampuni kutoboa inakuwa ngumu
Biashara imenoga kuna mshindani anashusha bei ukizingatia umemzidi mtaji, ukimhoji anadai kafokewa na kiongozi wa kampuni ana abuse bei mpaka unajiuliza kwani mtaji kapewa na kampuni?
Je mtu kama huyu wa kumpa dili? Kafokea kidogo ameshakata tamaa, siku ukimpa mbinu za kupata mzigo anakuchoma.
Ndio karibuMim nataman kufungua biashara ya vinywaji naweza karibia pm