Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Nakumbuka around 2017 Forex ndio imeingia bongo. Affiliate marketing ya Templer walinipatia karibia dollar 4000, around Milioni 9 kasoro within a very short period of time, kuingiza laki moja kwa siku ilikuwa kugusa tu. Dahhh


Screenshot_20240112-080126.jpg


Screenshot_20240112-075305.jpg
 
Ingia kwenye spare za radio tv na solar. Kariakoo wauzaji wa jumla ni wengi ukipenda nenda Uganda. Tafuta location fungua duka hesabu mzigo weka kijana then anza kutafuta mafundi tv, radio na solar wa mkoa uliopo na mikoa jirani waonyeshe bidhaa zako na wao ni lazima wataambiana na bei yako iwe rafiki. Tafuta connection ya hawa wanamuziki wa nyimbo za asili ili ipate dili ya kuwa unawauzia spare the sound pindi wakiwa wanafanya service pia mapub yote zungukia na makanisa haya ya kilokole upande wa sound hebu jaribu hii idea. Ukiendelea kulia njaa basi nuksi yako sio ya nchi hii.
 
Ingia kwenye spare za radio tv na solar. Kariakoo wauzaji wa jumla ni wengi ukipenda nenda Uganda. Tafuta location fungua duka hesabu mzigo weka kijana then anza kutafuta mafundi tv, radio na solar wa mkoa uliopo na mikoa jirani waonyeshe bidhaa zako na wao ni lazima wataambiana na bei yako iwe rafiki. Tafuta connection ya hawa wanamuziki wa nyimbo za asili ili ipate dili ya kuwa unawauzia spare the sound pindi wakiwa wanafanya service pia mapub yote zungukia na makanisa haya ya kilokole upande wa sound hebu jaribu hii idea. Ukiendelea kulia njaa basi nuksi yako sio ya nchi hii.
 
Ingia kwenye spare za radio tv na solar. Kariakoo wauzaji wa jumla ni wengi ukipenda nenda Uganda. Tafuta location fungua duka hesabu mzigo weka kijana then anza kutafuta mafundi tv, radio na solar wa mkoa uliopo na mikoa jirani waonyeshe bidhaa zako na wao ni lazima wataambiana na bei yako iwe rafiki. Tafuta connection ya hawa wanamuziki wa nyimbo za asili ili ipate dili ya kuwa unawauzia spare za sound pindi wakiwa wanafanya service pia mapub yote zungukia na makanisa haya ya kilokole upande wa sound hebu jaribu hii idea. Ukiendelea kulia njaa basi nuksi yako sio ya nchi hii.
 
Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.

Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.

Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!

Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Nivunja Bank.
 
Nakumbuka around 2017 Forex ndio imeingia bongo. Affiliate marketing ya Templer walinipatia karibia dollar 4000, around Milioni 9 kasoro within a very short period of time
Yaani hii affiliate marketing achana nayo kabisa aisee, Mimi sikuwa hizo za Forex sababu nilichelewa kujua ikawa imeshavamiwa. Kwa mwezi kwenye affiliate za makamouni ya kubeti jumla nilikuwa ninakusanya mpaka euros 3,000 ikaenda kwa miezi kama 6 hivi, baadaye ikaanza kusuasua sababu watu walishaanza kuijua na wakavamia. Huwa sisahau zile faida. Ila nimejifunza fursa hizi huwa zinakuja na kupotea, hautakiwi kuzembea.
 
Niliajiliwa kama afsa malipo wa kampuni.
Sikuiibia kampuni bali zile Asante za wadau zilizotokana na fast tracking za malipo aki ndio imenifanya leo niko apa thoo kazi iliisha kitambo.
Ilikua mpaka utoe pesa ndio nikulipe otherwise utasubiri san.aa.
 
Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.

Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.

Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!

Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Nenda kariakoo fatilia bidhaa mpya sokoni yani zile za moto hazijaingia mtaani nunua kwa bei chee (hapa uwe na bargaining power) tembeza kitaa jumla na rejareja.

Electronics
Mavazi
Viatu
Urembo n.k
 
NATAKA NIKUSHAURI KWA UWAZI. Maana nimeiona nia yako ni dhati.

1. Mosi na muhimu kuliko yote fanya kazi kwa juhudi sana. Haijalishi ni kazi gani juhudi, juhudi na juhudi zaidi. Roughly aim to work 10 X more than any person around you.

2. Tumia unfair advantage. Kila mtu anazo unfair advantage kwa upande wake. Naamini hata wewe unanamna fulani mambo kadhaa yanakua mepesi kuliko watu wanaokuzunguka iwe halali au sio halali tumia unfair advantage kikamilifu.

3. Mwisho ila ni muhimu zaidi, kua na roho ngumu. Dont and never be distructed even kwa sekunde. Usicheke na mtu, usipende mazoea katika utafutaji wako, usisaidie mtu yeyote kabla haujafika lengo. Kila pesa unayopata ipangie ilete pesa nyingine

BONUS:
1. Epuka kudaiwa.
2. Weka lengo la net wealth kwa kuanza napendekeza 700 M (usiweke lengo dogo eti 50M, huo bado ni umasikini) lengo hilo lipangie kwa muda fulani napendekeza kwa kuanza miaka 10 then work your way up ukiongeza lengo la net wealth.
 
Yaani hii affiliate marketing achana nayo kabisa aisee, Mimi sikuwa hizo za Forex sababu nilichelewa kujua ikawa imeshavamiwa. Kwa mwezi kwenye affiliate za makamouni ya kubeti jumla nilikuwa ninakusanya mpaka euros 3,000 ikaenda kwa miezi kama 6 hivi, baadaye ikaanza kusuasua sababu watu walishaanza kuijua na wakavamia. Huwa sisahau zile faida. Ila nimejifunza fursa hizi huwa zinakuja na kupotea, hautakiwi kuzembea.
Kabisa kabisa! Huwa hazidumu
 
Back
Top Bottom