Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Tulia nikupe Dili la jamaa mmoja askari mkoa Fulani hapa Tanzania.

Dili likuwa hivi, kuna Kijiji Fulani katika huo mkoa kuna wafugaji wa Ngo'mbe sasa siku moja kukawa kuna Ngo'mbe wengi sana wameibiwa nadhani mnafahamu jamii za wafugaji.

Zile Ngo'mbe ziliibiwa maana jamii za wafugaji Huwa wana hizi tabia za kuibiana, basi ikapigwa simu kituo cha polisi Kijiji Fulani kuna wizi ya mifugo mingi , basi mapoti wakatoka kama sita na difenda mpaka uhuuuuu mpaka hapo kwenye Icho kijiji.

Basi polisi wale ikabidi waanze msako maana jamaa aliyebiwa mifugo ni msukuma na ana Ngo'mbe mpaka anasahau, basi wale mapoti waliendelea kutafuta mpaka Giza linaingia kwenye wengi lazima wapo wanaopata tamaa ndio kilitokea.


Wengine wakasema turudini hapa hakuna dalili halafu ni porini vbaya, wakasema nyinyi nendeni basi katika watu sita wakabaki watatu wale wenzao walikuja kuchukuliwa na bodaboda wao wakabaki na difenda.

Tafuta sana usiku kabsa wakawaona hao wajamaa walikuwa wamanga'ti wakawakamata.

Baada ya kuwakamata kuwabana wakasema sisi tunatumwa na boss wetu wakasema twendeni mmoja akasema unaweza ukaongea na boss ukavutwa waya boss akapokea, jamaa akasema boss tumekamatwa.

Boss akajibu shida nn hapo maliza kesi hiyo, akasema hawataki akasema nipe simu boss akapokea akasema mnataka shngap mapoti wakaanza kupanic ww unataka kutuonga boss hakuongea sana akasema kuna milioni200 hapa nataka tumalize jambo hilo daah kusikia vile wakaangaliana wakasema hata tufanye mpaka tuzeeke hatuipati.

Basi deal done likafanyika pale, makubaliano Jinsi ya pesa zao kuzipata.baada ya kutoka kule wakapanga wakisema tukifika tutasema tumewakosa.
Walivyorudi wakasema hivyo.

Huyo jamaa hapo katika mkoa wake amejenga hostel za watoto wa chuo, ana mabiashara ya Huduma za fedha mjini hapo kila sehemu. kutoka katika ile milion200

Alifanya miaka 3 mbele baadae akasema sababu za afya akaacha kazi huku usimamizi akiwapa watu ili wasimtilie shaka,

Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe
Milion 200? Hapa kuna walakini
 
NATAKA NIKUSHAURI KWA UWAZI. Maana nimeiona nia yako ni dhati.

1. Na muhimu kuliko yote fanya kazi kwa juhudi sana. Haijalishi ni kazi gani juhudi, juhudi na juhudi zaidi. Roughly aim to work 10 X more than any person around you.

2. Tumia unfair advantage. Kila mtu anazo unfair advantage kwa upande wake. Niamini hata wewe unanamna mambo kadhaa yanakua mepesi kuliko watu wanaokuzunguka iwe halali au sio halali tumia unfair advantage kikamilifu.

3. Mwisho ila ni muhimu zaidi, kua na roho ngumu. Usicheke na mtu, usipende mazoea katika utafutaji wako, usisaidie mtu yeyote kabla haujatusua. Kila pesa unayopata ipangie ilete pesa nyingine
Comment bora ya uzi huu, safi sana.
 
Tulia nikupe Dili la jamaa mmoja askari mkoa Fulani hapa Tanzania.

Dili likuwa hivi, kuna Kijiji Fulani katika huo mkoa kuna wafugaji wa Ngo'mbe sasa siku moja kukawa kuna Ngo'mbe wengi sana wameibiwa nadhani mnafahamu jamii za wafugaji.

Zile Ngo'mbe ziliibiwa maana jamii za wafugaji Huwa wana hizi tabia za kuibiana, basi ikapigwa simu kituo cha polisi Kijiji Fulani kuna wizi ya mifugo mingi , basi mapoti wakatoka kama sita na difenda mpaka uhuuuuu mpaka hapo kwenye Icho kijiji.

Basi polisi wale ikabidi waanze msako maana jamaa aliyebiwa mifugo ni msukuma na ana Ngo'mbe mpaka anasahau, basi wale mapoti waliendelea kutafuta mpaka Giza linaingia kwenye wengi lazima wapo wanaopata tamaa ndio kilitokea.


Wengine wakasema turudini hapa hakuna dalili halafu ni porini vbaya, wakasema nyinyi nendeni basi katika watu sita wakabaki watatu wale wenzao walikuja kuchukuliwa na bodaboda wao wakabaki na difenda.

Tafuta sana usiku kabsa wakawaona hao wajamaa walikuwa wamanga'ti wakawakamata.

Baada ya kuwakamata kuwabana wakasema sisi tunatumwa na boss wetu wakasema twendeni mmoja akasema unaweza ukaongea na boss ukavutwa waya boss akapokea, jamaa akasema boss tumekamatwa.

Boss akajibu shida nn hapo maliza kesi hiyo, akasema hawataki akasema nipe simu boss akapokea akasema mnataka shngap mapoti wakaanza kupanic ww unataka kutuonga boss hakuongea sana akasema kuna milioni200 hapa nataka tumalize jambo hilo daah kusikia vile wakaangaliana wakasema hata tufanye mpaka tuzeeke hatuipati.

Basi deal done likafanyika pale, makubaliano Jinsi ya pesa zao kuzipata.baada ya kutoka kule wakapanga wakisema tukifika tutasema tumewakosa.
Walivyorudi wakasema hivyo.

Huyo jamaa hapo katika mkoa wake amejenga hostel za watoto wa chuo, ana mabiashara ya Huduma za fedha mjini hapo kila sehemu. kutoka katika ile milion200

Alifanya miaka 3 mbele baadae akasema sababu za afya akaacha kazi huku usimamizi akiwapa watu ili wasimtilie shaka,

Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe
Mil 200, watu 3, kila m1 Mil 66.
Ko huyo Mil 66 ndo alijenga hostel za wanachuo na miradi mingne ametoboaa mazima?/
 
Back
Top Bottom