Dili la bilioni 11.5 diamond naona kapigwa, ni ndogo kwa brand ya WCB

Dili la bilioni 11.5 diamond naona kapigwa, ni ndogo kwa brand ya WCB

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
diamondplatnumz-20210409-0001.jpg




Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,

Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu

Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo

Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
 

Attachments

  • diamondplatnumz-20210409-0001.mp4
    1.7 MB
Hebu tueleze, wewe hapo ulipo una deal la kiasi gani? Au ndio kutwa kucha unafatilia mambo ya wenzako wakati wewe huna mchongo kama "CHAWA".

Piga kazi, achana na kupeleleza jirani leo amekula nini.
Yani hapa nilipo leo siku nzimba naitafuta shilingi 200 iliyodondoka uvunguni 😂😂.

Nlichokuwa nasema tu ni kwamba WCB ni label kubwa mno, na huyo alietoa hicho kiasi kakitoa kwasababu anajua hilo na uhakika wa faida upo
 
CEO wa WCB na Wasafi Media Diamond Platnumz amethibitisha kutia saini dili yenye thamani ya dola milioni 5 na kampuni ya Mziiki.

Dili hiyo ni kwa ajili ya kusambaza kazi za Wasanii walio chini ya usimamizi wa Lebo yake ya WCB Wasafi. Diamond anasimamia jumla ya Wasanii 5 – Rayvanny, Mbosso, Zuchu, Lavalava, Queen Darlin

Dili hii imetajwa kuwa thibitisho tosha ya jinsi muziki wa Bongo Flavor umekuwa na thamani kubwa katika bara la Afrika.
 
CEO wa WCB na Wasafi Media Diamond Platnumz amethibitisha kutia saini dili yenye thamani ya dola milioni 5 na kampuni ya Mziiki.

Dili hiyo ni kwa ajili ya kusambaza kazi za Wasanii walio chini ya usimamizi wa Lebo yake ya WCB Wasafi. Diamond anasimamia jumla ya Wasanii 5 – Rayvanny, Mbosso, Zuchu, Lavalava, Queen Darlin

Dili hii imetajwa kuwa thibitisho tosha ya jinsi muziki wa Bongo Flavor umekuwa na thamani kubwa katika bara la Afrika.
tunataka milion 140 zetu Kwanza
 
View attachment 1747901



Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,

Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu

Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo

Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Kumbuka ili na wao wapate faida inabidi wa2 wanunue nyimbo, si kuskiza na view bure.
 
Bil 11 kibongobongo hata ingekuwa mimi nisinge acha huwez jua ya baadae acha achukue km mkataba upo fresh sion shida
 
Back
Top Bottom