Dili la bilioni 11.5 diamond naona kapigwa, ni ndogo kwa brand ya WCB

Dili la bilioni 11.5 diamond naona kapigwa, ni ndogo kwa brand ya WCB

View attachment 1747901



Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,

Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu

Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo

Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Ni nyingi kama wasanii wa WCB kushiriki urithi festival walilipwa 140 milion sasa bilioni 11 zinakuwaje ndogo mkuu.
 
Diamond mjanja, baada ya issue kufumuka kaona apate hilo deal ili isionekane pesa zake ni za umma, ila dogo ana pesa chafu kwa maisha ya kitanzania.
 
View attachment 1747901



Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,

Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu

Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo

Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Sasa hutaki mwenzio apate faida?
 
Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
IMG_20210319_140530.jpg
 
View attachment 1747901



Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,

Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu

Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo

Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Hebu tupe mchanganuo yaani break down, unadhani ukubwa wa WCB unapaswa kuwa na thamani kiasi gani kifedha? net worth yao ni kiasi gani kwa vigezo vipi? ukiachilia hicho kigezo chako cha watu kukariri mashairi, embu tupe vigezo vya kifedha ili tujue amepigwa au la!
 
Hivi Kwin Dalin nae msanii. Bora awe replaced na yule Diwani wa Kigoma.
 
Back
Top Bottom