Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nyingi kama wasanii wa WCB kushiriki urithi festival walilipwa 140 milion sasa bilioni 11 zinakuwaje ndogo mkuu.View attachment 1747901
Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,
Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu
Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo
Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Sasa hutaki mwenzio apate faida?View attachment 1747901
Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,
Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu
Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo
Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Hebu tupe mchanganuo yaani break down, unadhani ukubwa wa WCB unapaswa kuwa na thamani kiasi gani kifedha? net worth yao ni kiasi gani kwa vigezo vipi? ukiachilia hicho kigezo chako cha watu kukariri mashairi, embu tupe vigezo vya kifedha ili tujue amepigwa au la!View attachment 1747901
Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,
Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu
Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo
Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Pia usisahau kunakuongezeka tukifikia sehem fulanHiyo 11B ni kubwa sana,lazima ndani yake kuna vipengele, ukifanya hivi tukafika sehemu flan,tunakulipa kiasi flan,then wanaweza hata wasipate 11B,wakaishia sehemu flani! Hongera kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimuona mkojo wa uzazi unachezaSijamuona Vannyboy kwenye hyo hafla
Azikusanye wapi mzee wa magumashi huyo na misifa, on paper hajapewa hiyo hela, tena usikute kakopwa..Dogo yupo vizuri muda wake,acha azikusanye.