Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ninacho kukubali siku zote habari za WCB,ndizo zina kuibua vip Cheed na Killy joint ep yao wanaachia lini kutoka Konde Gang?Azikusanye wapi mzee wa magumashi huyo na misifa, on paper hajapewa hiyo hela, tena usikute kakopwa..
Jamaa kajikaanga na mafuta yake mwenyewe.TRA wanapata nini
Yes, ila nani mwingine hapa TZ anaweza pata deal la kiasi hicho?View attachment 1747901
Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,
Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu
Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo
Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Ni ndogo?View attachment 1747901
Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,
Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu
Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo
Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
π π πTunaenda mapumziko tukirudi sasa moto wake ni mkubwaView attachment 1747949
Ni ndogo kwa asset value ya wcb tukiangalia present value yake kwa sasa katika future value yake baada ya miaka ya hapo mbele, ila unapoichukulia kwa mtu ambae hata hajawahi kushika milioni 10 anaona ni nyingi maana yeye mwenyewe tu assets zake unakuta hana hata gariNi ndogo?
Ama kweli mwenye nacho huongezewa
π€π€π€ Lakini kweli mkuuNi ndogo kwa asset value ya wcb tukiangalia present value yake kwa sasa katika future value yake baada ya miaka ya hapo mbele, ila unapoichukulia kwa mtu ambae hata hajawahi kushika milioni 10 anaona ni nyingi maana yeye mwenyewe tu assets zake unakuta hana hata gari