Tetesi: Dili la Mahop kwenda Yanga lashindikana

Kennedy Musonda kasema yeye ni Mayele mpya, ngoja tuone.
 
tatizo Hawa wachezaji wengi wakiambiwa waje Tanzania wanajua wanakuja kucheza Simba na mawakala wao wanawadanganya makusudi. Mchezaji kaja kajua atacheza Africa super league alipofika kuambiwa Yanga akafanya makusudi kupandisha bei ngoja tuone ;labda watafika mwafaka
 
Day ndio nn,
 
Hahahahahahaha

Wazee wa kujdili tetesi
 
Mzee sizitaki mbichi hizi, mbona lukaku ana mwl mkubwa? Mbona bocco ana mwl mkubwa?
Humu kuna tetesi mayele kwenda azam
Humu kuna tetesi mahop kutokusajiri yanga
Humu kuna tetesi Yanga kafungiwa
Humu kuna tetesi bangala na djuma kwenda simba


Hahahahaha,hao ndio GT wa JF wanajadili TETESI hadi wanatukanana
 
Kuandika kwenyewe hujui, toka hapa kolo fala wewe.

Day ndio nini?
 
Humu kuna tetesi mayele kwenda azam
Humu kuna tetesi mahop kutokusajiri yanga
Humu kuna tetesi Yanga kafungiwa
Humu kuna tetesi bangala na djuma kwenda simba


Hahahahaha,hao ndio GT wa JF wanajadili TETESI hadi wanatukanana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…