Sarpong typeKwani Usajili Ushafungwa?, Wachezaji Mbn Wapo Wengi Tu Afrika, Kwanza Sinaga Imani Na Washambuliaji Wenye Miili Mikubwa Kama Yeye, Ukute Mwili Mkubwa Mpira Hamna, Asije Kutuletea Mambo Ya Lukaku.
Kennedy Musonda kasema yeye ni Mayele mpya, ngoja tuone.Dili la Mshambuliaji hatar wa kameruni EMMANUEL MAHOP kwenda yanga limeshindikana baada ya yanga kutoweza fika muafaka na mchezaji huyo, inadaiwa swala zima la mkwanja ndio limeifanya yanga kushindwa kufikia jambo hili.
Naona yanga ikifunga goli below 40 next season maana hamna mshambuliaji wa kuaminika wa kumsaidia musonda.
Usiku mwema
Day ndio nn,tatizo Hawa wachezaji wengi wakiambiwa waje Tanzania wanajua wanakuja kucheza Simba na mawakala wao wanawadanganya makusudi. Mchezaji kaja kajua atacheza Africa super league alipofika kuambiwa Yanga akafanya makusudi kupandisha day ngoja tuone ;labda watafika mwafaka
Washambuliaji wenyeKwani Usajili Ushafungwa?, Wachezaji Mbn Wapo Wengi Tu Afrika, Kwanza Sinaga Imani Na Washambuliaji Wenye Miili Mikubwa Kama Yeye, Ukute Mwili Mkubwa Mpira Hamna, Asije Kutuletea Mambo Ya Lukaku.
Mzee sizitaki mbichi hizi, mbona lukaku ana mwl mkubwa? Mbona bocco ana mwl mkubwa?Washambuliaji wenye
Miili mikubwa hamna lolote mzeebaba.uko bien.
HahahahahahaMbona kaishatua Dar tayari anasubiri kutangazwa tu
Hahahahahahahatatizo Hawa wachezaji wengi wakiambiwa waje Tanzania wanajua wanakuja kucheza Simba na mawakala wao wanawadanganya makusudi. Mchezaji kaja kajua atacheza Africa super league alipofika kuambiwa Yanga akafanya makusudi kupandisha day ngoja tuone ;labda watafika mwafaka
Humu kuna tetesi mayele kwenda azamMzee sizitaki mbichi hizi, mbona lukaku ana mwl mkubwa? Mbona bocco ana mwl mkubwa?
Kuandika kwenyewe hujui, toka hapa kolo fala wewe.tatizo Hawa wachezaji wengi wakiambiwa waje Tanzania wanajua wanakuja kucheza Simba na mawakala wao wanawadanganya makusudi. Mchezaji kaja kajua atacheza Africa super league alipofika kuambiwa Yanga akafanya makusudi kupandisha day ngoja tuone ;labda watafika mwafaka
fala mama yako na baba yako aliyekuzaa ndio maana una tabia za kiporiporiKuandika kwenyewe hujui, toka hapa kolo fala wewe.
Day ndio nini?
hata Nabi alivyokuja aliitaja Simba mara nyingi kwenye mkutano wake WA kwanza.Hahahahahahaha
Wazee wa kujdili tetesi
Leo mko ktk kujadili tetesi gani ?hata Nabi alivyokuja aliitaja Simba mara nyingi kwenye mkutano wake WA kwanza.
ila Bado ni tetesi
HahahahahaaKuandika kwenyewe hujui, toka hapa kolo fala wewe.
Day ndio nini?
uko kote sipo nimemalizia Kwa kusema Bado ni tetesi Kwa sababu habari yenyewe haijatoka kwenye chanzo maalumu.Leo mko ktk kujadili tetesi gani ?
Ya babra, ya mayele au ya mahop?
Hahahahaha,vzruko kote sipo nimemalizia Kwa kusema Bado ni tetesi Kwa sababu habari yenyewe haijatoka kwenye chanzo maalumu.
hayo mengine ni utani was jadi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humu kuna tetesi mayele kwenda azam
Humu kuna tetesi mahop kutokusajiri yanga
Humu kuna tetesi Yanga kafungiwa
Humu kuna tetesi bangala na djuma kwenda simba
Hahahahaha,hao ndio GT wa JF wanajadili TETESI hadi wanatukanana
We fuatilia na tetesi zote hizo zinahusu timu moja,na jiuliza ni watu wa hiyo timu ndio wanaleta tetesi ile wajadiliwe au wapinzani wao ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]