Hawezi kukosa kazi kasha tengeneza profileNazan huyu kocha ana ofa zaid ya moja mkononi ila sisi tumeijua ya keizer chif zaid
Uko sahihi; alipoacha Yanga alisema anakwenda kutafuta changamoto, hakusema kuwa anakwenda kufundisha kaizer. Changamoto zenyewe ndiyo hizo.Changamoto zingine ndio hizi Sasa!! [emoji23]
Bahili haoMkumbuke Azma hawana kocha
Wanae msenegalMkumbuke Azma hawana kocha
Nabi atakuwa na offer kibao...