Dili la Nabi Kwenda Kaizer Chief Labuma

Dili la Nabi Kwenda Kaizer Chief Labuma

Una acha kazi kabla hauja pata kazi! Kivumbi na jasho
Hizi ni akili za kimasikini. Kama huna thamani ni wewe, kwa mtu mwenye thamani hii kwake ni fursa zaidi. Kwa profile yake unadhani atakosa timu kubwa?
 
Hizi ni akili za kimasikini. Kama huna thamani ni wewe, kwa mtu mwenye thamani hii kwake ni fursa zaidi. Kwa profile yake unadhani atakosa timu kubwa?
Ungekua na akili hata robo usingekua una andika mashudu kama haya, kitendo cha deal lake ku fail value vyake imeshuka sasa hivi yeye ndio anatafta timu sio timu inamtaka hata kama ilikuwepo ni second option huoni kama kuna kitu kina miss?
 
Hujui lolote, walichoshindwana na Kaizer Chiefs Nabi alitaka aende na technical team yake akiwemo yule manywele ni muhimu sana kwa Nabi.

Kaizer Chiefs nao wana watu wao ambao wanawakubali hawapo tayari kuwafukuza kazi kisa matakwa ya Nabi.

Kwa lugha nyingine Nabi hakuwa mtu mzuri kwa riziki za watu wengine pale Kaizer Chiefs na hata Mungu hapendi hivyo.
Shida unakurupuka mihemuko mapovu kama umelishwa omo

Swali langu alisema wapi kuwa anaenda kaizer?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom