ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Mchezaji superstar na tegemezi wa timu ya simba Kibu denis, yupo nje ya nchi kukamilisha mazungumzo na klabu yake mpya ya ubeligiji inayocheza ligi daraja la pili, mchezaji huyo alisaini dili jipya na klabu ya simba huku akipewa gari, na pesa zote alizostaili kulipwa, na msimu ulivyoisha alikwenda mapumzikoni huko nchini Marekani ambapo ndo familia yake ipo.
Kutokana na ukubwa wa dili alilopata Kibu Denis Ulaya, imemuwia vigumu kukataa dili hiyo hivyo amekuwa hapatikani hata kwenye mtandao wa simu yake, kwani namba anayotumia sasa hivi ni mpya na anawasiliana na watu wachache sana hapa Tanzania, Kibu Denis atarudi nchini ili kumalizana na Simba kwa maana ya kukamilisha mauzo yake kutoka simba kwenda huko Ulaya, hivyo Simba watapata pesa nyingi sana kupitia mauzo ya Kibu Denis.
Kutokana na ukubwa wa dili alilopata Kibu Denis Ulaya, imemuwia vigumu kukataa dili hiyo hivyo amekuwa hapatikani hata kwenye mtandao wa simu yake, kwani namba anayotumia sasa hivi ni mpya na anawasiliana na watu wachache sana hapa Tanzania, Kibu Denis atarudi nchini ili kumalizana na Simba kwa maana ya kukamilisha mauzo yake kutoka simba kwenda huko Ulaya, hivyo Simba watapata pesa nyingi sana kupitia mauzo ya Kibu Denis.