Dili za Mtandaoni/Online deals(special threads)

Dili za Mtandaoni/Online deals(special threads)

Duh! Kama ndivyo mbona Upwork wanalima sana, manake $40 inaishia njiani, kabla benki nao hawajachukua chao!
Hiyo ni commision yao hata freelancer wanalima 10% ya mapato yako, na hapo sikuwa naongelea fees, hizo siyo pesa wanazolima freelancer naongelea bank transfer fees wanakula bank zinazokuwa involved siyo wao.
 
Ila up work naona ni pagumu sana kupata kazi
Milolongo ni mingi sana
Upwork imeelemewa na Freelancers, matokeo yake kuna baadhi ya kazi, ujira badala ya kupanda ndo kwanza inapungua! Yaani unakuta Client aliyekuwa analipa $7/hour mwaka 2015, kwa kazi ile ile mwaka 2020 unakuta analipa $3/hour, na bado wapo Freelancer walio willing kufanya hata kwa $2/hour.

Sasa ili kupunguza wimbi la Freelancers, ndo unakuta hivi sasa hata account kuwa approved, ni mbinde kweli kweli let alone mambo ya kuuziana Connects/Tokens ambazo zamani unapewa Free 60 Connects per month; zikikuishia ndipo ungeweza kununua au kusubiri mzunguko unaofuata! But now, hupewi hata connect 1; sasa kwa New Comers sijui wanafanyaje!
 
Hiyo ni commision yao hata freelancer wanalima 10% ya mapato yako, na hapo sikuwa naongelea fees, hizo siyo pesa wanazolima freelancer naongelea bank transfer fees wanakula bank zinazokuwa involved siyo wao.
Na hiyo $40 niliyoitaja sio Upwork Fee bali ni Wire Transfer Fee! Upwork Fee na yenyewe ni full maumivu, manake wanatungua 20% hadi unapofikisha $500 ndipo fee inashuka kutoka 20% to 10%.
 
Upwork imeelemewa na Freelancers, matokeo yake kuna baadhi ya kazi, mishahara badala ya kupanda ndo kwanza inapungua! Yaani unakuta Client aliyekuwa analipa $7/hour mwaka 2015, kwa kazi ile ile mwaka 2020 unakuta analipa $3/hour, na bado wapo Freelancer walio willing kufanya hata kwa $2/hour.

Sasa ili kupunguza wimbi la Freelancers, ndo unakuta hivi sasa hata account kuwa approved, ni mbinde kweli kweli let alone mambo ya kuuziana Connects/Tokens ambazo zamani unapewa Free 60 Connects per month; zikikuishia ndipo ungeweza kununua au kusubiri mzunguko unaofuata! But now, hupewi hata connect 1; sasa kwa New Comers sijui wanafanyaje!
Ni pagumu sana Mkuu nikipata hata kazi moja upwork itakuwa ni bahati kubwa sana
 
Bado nimekamilisha leo kujiunga,nasubiri baada ya masaa 24
Kwa sasa mtihani ndo uko hapo kwenye approve, tofauiti na zamani. Ikishakuwa approved, unaweza kupitia hii post labda unaweza kuokota kitu:
Sina hakika kama nimekuelewa lakini acha nijibu tu hivyo hivyo!! Mosi, kazi huwa zinakuja randomly; zinazoendana na skills zako na hata zisizoendana na skills zako! ITo stop it, unatakiwa ku-filter. Kwenye SEARCH section ya home page yako, utaona wameandika FIND WORK....... search for jobs:-
View attachment 1357641

Sasa hapo walipoandika Search for jobs, utaandika KEY WORD ya moja ya kazi unazotarajia kuzifanya, kwa mfano Web Development. Ukishaandika, uta-click hiyo search icon. Ukisha-click search, zitatokea kazi mbalimbali related to Web Development. Ziangalie kwa haraka haraka kujiridhisha kama zinafanana fanana na unachotafuta, ukiona zinafana fanana, achana nazo na badala yake click SAVE SEARCH.

View attachment 1357649

Baada ya ku-click SAVE SEARCH, repeat above process kwa kuandika Keyword ya kazi zingine unazoona unaweza kuzifanya; kwa mfano GRAPHIC DESIGN.

Repeat and repeat hadi utakapoona zile unazoweza kufanya umezi-search ku-save. Ukishamaliza hapo, maana yake ni kwamba kwenye page yako zitakuwa zinatokea zile kazi ambazo zipo related na ulizo-search kabla na ku-save. Haziwezi kutokea, mathalani kazi za Legal Practice wakati hakuna keyword ambayo uli-search na ku-save related na masuala ya sheria.

Aidha, sijui kwa New Comers siku hizi inakuwaje lakini sie wengine CONNECTS (token zinazokuwezesha kuomba kazi) tunanunua! Kwa mfano, Connects (Token) 60 unanunua kwa $9. Hizi Connects 60 unaweza kutumia ku-apply a minimum of 10 Jobs, and 30 jobs Maximum.

Hiyo maana yake ni kwamba, unatakiwa kuwa makini unapo-apply kazi yoyote cos' you don't want to waste your paid Connects for anything. Lakini hata kama umepewa Connects za bure probably kwa sababu hujawahi kuingiza pesa, still you don't want to waste them uselessly kwa sababu no matter what, lazima hizo Free Connects utapewa in limited amount, say 60 per months.

Sasa basi, kwa kuangalia screenshot ya hapo juu, Post #19, hiyo kazi ya kwanza iliyoanza na "Hello. I'm an entreprenuer who...."

Think twice kabla huja-apply hiyo kazi na kuhatarisha Connects zako kwa sababu huyo Client hayupo VERIFIED
View attachment 1357659

Clients wa aina hiyo wapo wanaokuwa serious kutafuta Freelancer lakini bado hajafahamu sawasawa, na kwahiyo ukimwelekeza anaweza kumalizia usajiri na kuwa verified, lakini pia kuna wengine ambao hawapo serious! Ni kwamba anajisajiri, ana-post kazi na baada ya hapo harudi tena bila kujua kwamba ku-apply hiyo kazi watu wanatumia pesa!

Vile vile kazi kama hizi hapa chini unatakiwa kuwa makini kabla huja-apply na kuhatarisha Connects zako!!
View attachment 1357661

Kazi ya kwanza hapo juu utaona kuna Proposals 50+; yaani walio-apply ni zaidi ya 50 wakati nafasi zenyewe ni 3 tu! Hiyo maana yake ni kwamba, wewe uki-apply unaweza kuwa labda Applicant wa 55 !!! The question is: Kwanini huyo Client/Employer apitie application ya kwanza, ya pili, ya tatu, ya nne na kuendelea hadi anaifikia ya 55 ambayo ni ya 55?!! Hakuna atakayefanya huo ujinga! Atakachofanya atapitia application ya kwanza, akiona ana-qualify atampa Interview Offer. Atachukua inayofuata na zingine zinazofuata, or probably randomly na akipata idadi anayotaka, zingine hata ukifungua HATAFUNGUA!!!!!

The same kwa kazi ya pili ambayo kuna Proposals 20-50; which means hapo uki-apply utakuwa somewhere above mtu wa 20! Na kwa kazi kama Data Entry, unaweza kukuta wakati wewe una-apply kuna wengine 25 wana-apply at the same time. Which means, kama hauna speed, hadi una-click SUBMIT, unakuta application yako ipo kwenye 50+ wakati ilikuwa 20-50!!!!

Rule of Thumb ni kwamba, kwa kazi ambayo una-qualify basi chance ya kupata Interview inakuwa kubwa zaidi kama application yako inatokea juu juu; among the top 10, lakini inakuwa njema zaidi kama inakuwa among top 5 unless kama nafasi yenyewe inataka Freelancer zaidi ya mmoja!!!

Kwa maana nyingine, especially kwa hizi kazi zinazoonekana kila mmoja anaweza kufanya, basi make sure unakuwa faster kwenye ku-apply! Kwa kazi kama Data Entry, unaweza kuiotea ikiwa ndo kwanza imekuwa posted; maybe posted 3 minutes ago, but trust me, usipokuwa na speed, unaweza kukuta umetumia dakika 2 tu ku-apply lakini application yako inakuwa ya 30!!!

WHAT TO DO?! Unatakiwa kuandaa Template ya Application Letter Template kwa kazi mbalimbali, kwa mfano, template letter kwa Swahili-English-Swahili Translation, Graphic Design template letter, Web Design Template Letter and so on based on your skills!!

BUT, BE CAREFUL! Clients/Employers wengi kama sio wote wanapiga VITA SANA huo mtindo ambao unaitwa Generic Letters!!! Wanapiga vita kwa sababu Freelancers katika harakati za kuhakikisha applications zao zinakuwa juu, wengi huwa wana-copy tu template letters zao na ku-paste bila kusoma Job Descriptions. Sasa some Clients huwa wanaweka mitego kuwanasa watu wa aina hiyo! Kwa mfano, angalia hii kazi hapa chini:-
Sasa ukiangalia hiyo kazi, ndani ya maelezo ya job description, ame-include "Btw, please create a G doc that says "hey Jason" and includes a link at the start of your application." Huo moja kwa moja ni mtego wa kuwakamata watu wa copy and paste bila kusoma job description! Ina maana usiposoma, hutaona maelekezo ya kuweka Google Doc link yenye maneno "hey Jason" ambayo kimsingi hayana maana yoyote kwenye kazi husika! Mwingine kati katikati ya job description angeweza kuandika "...at the start of your application, write the first name of the US President"!

Hao wanachofanya, wakifungua tu wanaangalia neno la kwanza kwenye application na wakiona hakuna jibu la mtego wao, wanaitupa kapuni!!!

Hata hivyo, 99% ni kama Wajinga manake huwa wanatumia the same keywords "start" So, ukiona maelezo ni marefu ni marefu sana, tumia keyboard yako ku-click CTRL+ F to find a keyword START, na ukifanya hivyo within a second or two, utakutana na huo mtego kwa sababu ame-include the keyword START!!!

Lakini pamoja na hayo, ni MUHIMU SANA kupitisha macho kwa haraka haraka sana throughout the job description, na hiyo itakuwezesha kuyaona maelezo kama ya hapo kwenye BLUE na RED Chini kabisa!! Hayo maelezo ya Blue yatakuwezesha ku-edit kidogo template yako ambayo huenda haitakuwa na maelezo yanayojibu hizo blue requirements. Aidha, hayo maelezo ya chini kabisa (RED) utaona yametoa requirement ya hiyo kazi ambayo ni video (wengi huwa wanataka voice note). Huo sio mtego bali ni requirement especially kwa kazi za Phone Sales/Telemarketing & phone Customer Service. Lengo lao hapa ni kujua kama upo Fluent in English na HAUNA Strong Accent! In most cases, hata kama upo fluent lakini strong accent ina uwezekano mkubwa wa kukufanya upigwe chini!!!
 
Kwa sasa mtihani ndo uko hapo kwenye approve, tofauiti na zamani. Ikishakuwa approved, unaweza kupitia hii post labda unaweza kuokota kitu:
Nashukuru sana mkuu ngoja niipitie kwa makini
 
Na hiyo $40 niliyoitaja sio Upwork Fee bali ni Wire Transfer Fee! Upwork Fee na yenyewe ni full maumivu, manake wanatungua 20% hadi unapofikisha $500 ndipo fee inashuka kutoka 20% to 10%.
Upwork yah wanakata that much, ila mimi transfer natumia payoneer so wanakata $1 na payoneer wanaka 2$ coz nimeset instant transfer
 
Kwa sasa mtihani ndo uko hapo kwenye approve, tofauiti na zamani. Ikishakuwa approved, unaweza kupitia hii post labda unaweza kuokota kitu:
Nimeanza kuelewa maana ya connect
Niliona kuna kazi zingine zinahitaji connect nne zingine zinahitaji connect sita n.k

Ina mana hakuna hata kazi moja ambayo haimuhitaji mtu kuwa na connects ili aweze kuapply mkuu. Bora nirudi freelancer.com huu mchezo wa kuuziwa connect na uhakika wenyewe wa kupata kazi sio asilimia mia unanifikirisha sana
 
Upwork yah wanakata that much, ila mimi transfer natumia payoneer so wanakata $1 na payoneer wanaka 2$ coz nimeset instant transfer
Natumia zote mbili kutegemeana na amount.Payoneer ni mzuri sana kwa amount chini ya $1000 lakini ikianzia $1000 na kuendelea, kimahesabu payoneer inakuwa expensive kwa sababu ni transactions 6 hizo.
 
Nimeanza kuelewa maana ya connect
Niliona kuna kazi zingine zinahitaji connect nne zingine zinahitaji connect sita n.k

Ina mana hakuna hata kazi moja ambayo haimuhitaji mtu kuwa na connects ili aweze kuapply mkuu. Bora nirudi freelancer.com huu mchezo wa kuuziwa connect na uhakika wenyewe wa kupata kazi sio asilimia mia unanifikirisha sana
Hakuna kazi unayoweza ku-apply bila connect. Sijaingia Freelancer.com muda mrefu kidogo lakini kama utaratibu wao ndio ule ule wa zamani, binafsi sioni tofauti kubwakati ya Upwork wanaouza Connect na Freelancer ambao hawauzi. Kumbuka Freelancer.com application zinajipanga kutokana na 1. Reputation ya Applicants 2. Paid Application. Maana yake ni kwamba, kama kazi imetangazwa sasa na wewe New Comer ukaanza ku-apply, Application yako itakuwa juu kabisa! Akija new applicant, hata kama hana Star hata moja lakini ana muda mrefu Freelancer.com kuliko wewe, hapo atakaa juu yako na wewe utakuwa chini yake! Kama applicant wa 3 ana Star 1, atawashusha wote wawili na yeye atakuwa juu, wewe new comer application yako itakuwa ya 3. The process goes on!

Sasa assume kuna 50 applicants, na wote hao wamekuzidi reputation in terms of Stars na Ukongwe! Hapo application yako itakuwa down to 50th position. Now ask yourself. Ni Client gani atakayeacha applications ya kwanza hadi ya 49 aje kuichukua yako ya 50?! Sisemi haiwezekani lakini chance ya Client kuziacha application za juu kuifuata ya kwako iliyo chini ni ndogo sana! Na hapo usisahau application zinazokuwa juu zinakuwa ni zile zenye Top Ratings.

Sasa ukiona mbona application yako ipo chini sana wakati ungetemani iwe juu juu ili hatimae Client aweze kuiona kwa wepesi; utakachofanya hapo utatakiwa ulipie ili ipandishwe juu! Na hapa usisahau, wakati wewe New Comer unalipia ili application yako iwe juu, mwenzako mwenye Star 1 nae analipia ili nae application yake iwe juu! Mwenye Star 2 nae analipia ili application yake ipandishwe juu! Sasa kama nyote mmelipa amount sawa; hapa tena applcation ya mwenye Star 2 itakuwa juu ya yule mwenye Star 1 ndipo itafuta ya kwako! Na hapo sio kwamba labda mtapanda hadi nafasi 3 za juu kabisa, HAPANA kwa sababu there's no way mnaweza kuzishusha zile zenye Reputation kubwa zaidi ambazo hata kama walichelewa ku-apply, application zao zitapanda juu na kuonekana kirahisi zaidi na Client! Unachoweza kupata hapo labda application yako kupanda hadi position #10 Depending na Top Ranking Freelancers wangapi wame-apply!

Upwork ujinga huo haupo. Ukiwahi wa kwanza kutuma application basi application yako itaendelea kuwa #1 hata kama kuna Top Rated Freelancers 100, each with 100% Rating, hawa wote watakuwa chini yako! Na asikudanganye mtu, ina-matter sana application yako kuwa juu! Binafsi ingawaje Rating ni 100%, siwezi ku-apply kazi ambayo naona tayari kuna, say 20 Applicants kwa sababu pamoja na kuwa Top Rated, bado application yangu itakuwa #21. Na kama Client anatafuta mtu mmoja tu, basi chance yako hapo ni ndogo sana!!

Na pia usisahau! Pale Freelancer kulikuwa na ujinga wa kulipia test ili kuongeza chance! Kuna Clients wengine unakuta wanaweka wazi kwamba applicants awe amefanya, say, American English so and so! Ili kufanya hiyo test, ni lazima ulipie! Hapa tena, UPwork hawana huo ujinga.

So, kama Freelancer.com bado hawajaacha huo mchezo wa kulipia nafasi ya juu, na wale wenye Reputation Kubwa Zaidi automatically applicationzao kuwa juu hata kama wamechelewa ku-apply; basi ni afadhali ya Upwork ambako unalipia Connect unless kama una skills ambazo majority hawana! Kwa mfano, kama wewe ni Nuclear Scientist, I guess hapo Freelancer hapawezi kuwa na Nuclear Scientists wengi! Kwahiyo ikitokea opportunity kama hiyo, si ajabu total number of applicants mkawa watatu tu!!!!
 
Hakuna kazi unayoweza ku-apply bila connect. Sijaingia Freelancer.com muda mrefu kidogo lakini kama utaratibu wao ndio ule ule wa zamani, binafsi sioni tofauti kubwakati ya Upwork wanaouza Connect na Freelancer ambao hawauzi. Kumbuka Freelancer.com application zinajipanga kutokana na 1. Reputation ya Applicants 2. Paid Application. Maana yake ni kwamba, kama kazi imetangazwa sasa na wewe New Comer ukaanza ku-apply, Application yako itakuwa juu kabisa! Akija new applicant, hata kama hana Star hata moja lakini ana muda mrefu Freelancer.com kuliko wewe, hapo atakaa juu yako na wewe utakuwa chini yake! Kama applicant wa 3 ana Star 1, atawashusha wote wawili na yeye atakuwa juu, wewe new comer application yako itakuwa ya 3. The process goes on!

Sasa assume kuna 50 applicants, na wote hao wamekuzidi reputation in terms of Stars na Ukongwe! Hapo application yako itakuwa down to 50th position. Now ask yourself. Ni Client gani atakayeacha applications ya kwanza hadi ya 49 aje kuichukua yako ya 50?! Sisemi haiwezekani lakini chance ya Client kuziacha application za juu kuifuata ya kwako iliyo chini ni ndogo sana! Na hapo usisahau application zinazokuwa juu zinakuwa ni zile zenye Top Ratings.

Sasa ukiona mbona application yako ipo chini sana wakati ungetemani iwe juu juu ili hatimae Client aweze kuiona kwa wepesi; utakachofanya hapo utatakiwa ulipie ili ipandishwe juu! Na hapa usisahau, wakati wewe New Comer unalipia ili application yako iwe juu, mwenzako mwenye Star 1 nae analipia ili nae application yake iwe juu! Mwenye Star 2 nae analipia ili application yake ipandishwe juu! Sasa kama nyote mmelipa amount sawa; hapa tena applcation ya mwenye Star 2 itakuwa juu ya yule mwenye Star 1 ndipo itafuta ya kwako! Na hapo sio kwamba labda mtapanda hadi nafasi 3 za juu kabisa, HAPANA kwa sababu there's no way mnaweza kuzishusha zile zenye Reputation kubwa zaidi ambazo hata kama walichelewa ku-apply, application zao zitapanda juu na kuonekana kirahisi zaidi na Client! Unachoweza kupata hapo labda application yako kupanda hadi position #10 Depending na Top Ranking Freelancers wangapi wame-apply!

Upwork ujinga huo haupo. Ukiwahi wa kwanza kutuma application basi application yako itaendelea kuwa #1 hata kama kuna Top Rated Freelancers 100, each with 100% Rating, hawa wote watakuwa chini yako! Na asikudanganye mtu, ina-matter sana application yako kuwa juu! Binafsi ingawaje Rating ni 100%, siwezi ku-apply kazi ambayo naona tayari kuna, say 20 Applicants kwa sababu pamoja na kuwa Top Rated, bado application yangu itakuwa #21. Na kama Client anatafuta mtu mmoja tu, basi chance yako hapo ni ndogo sana!!

Na pia usisahau! Pale Freelancer kulikuwa na ujinga wa kulipia test ili kuongeza chance! Kuna Clients wengine unakuta wanaweka wazi kwamba applicants awe amefanya, say, American English so and so! Ili kufanya hiyo test, ni lazima ulipie! Hapa tena, UPwork hawana huo ujinga.

So, kama Freelancer.com bado hawajaacha huo mchezo wa kulipia nafasi ya juu, na wale wenye Reputation Kubwa Zaidi automatically applicationzao kuwa juu hata kama wamechelewa ku-apply; basi ni afadhali ya Upwork ambako unalipia Connect unless kama una skills ambazo majority hawana! Kwa mfano, kama wewe ni Nuclear Scientist, I guess hapo Freelancer hapawezi kuwa na Nuclear Scientists wengi! Kwahiyo ikitokea opportunity kama hiyo, si ajabu total number of applicants mkawa watatu tu!!!!
Aisee haya mambo haya
Sasa connect moja huko upwork inaweza ikacost kiasi gani
Fever nao vipi hawana huo unyanyasaji kama freelancer?
 
Natumia zote mbili kutegemeana na amount.Payoneer ni mzuri sana kwa amount chini ya $1000 lakini ikianzia $1000 na kuendelea, kimahesabu payoneer inakuwa expensive kwa sababu ni transactions 6 hizo.
Ofcourse payooneer ni expensive nikiwithdraw milion moja nakatwa zaidi ya laki na ishirini halafu pale kwenye atm naambiwa kila withdraw nitakatwa 11000 payoneer charges $3, na milion moja lazima udraw mara 3 maana maximum ni lak 4 kwa withdraw moja lakini ajabu wanakata ela ndefu sana sema ndiyo hivyo ni quickest way kama nataka kufanya transfer.
 
Aisee haya mambo haya
Sasa connect moja huko upwork inaweza ikacost kiasi gani
Fever nao vipi hawana huo unyanyasaji kama freelancer?
Sijawahi kufanya kazi Fivver. I think I was lucky with Upwork enzi hizo inaitwa oDesk! Baada ya kujiunga tu, ilinichukua chini ya wiki moja kupata kazi yangu ya kwanza; na ndani ya mwezi mmoja nikawa nazikataa kazi! Matokoe yake, sikuwa tena na sababu ya kurandaranda huku na huko, ingawaje hivi sasa it's a matter of time kabla sijaanza kurandaranda manake mambo magumu ile mbaya!

Kuhusu bei ya Connects, wanaanza kuuza 10 Connects kwa $1.5; na unaweza kununua nyingi zaidi kwa staili hiyo hiyo; 20 kwa $3, 30 kwa $4.5 and so on up to 60 Connects for $12. Kumbuka, hizo 10 Connects unaweza kuzitumia to a maximum of 5 Jobs and minimum 2 Jobs. Ukichukua maelezo yangu ya awali kuhusu Freelancer.com kuuza nafasi za juu, hiyo $1.5 inakuwezesha kununua nafasi ya juu kwa Application moja tu, na hakuna guarantee kwamba itakuwa kwenye #1. Kinyume chake, hiyo $1.5 uliyonunua 10 Connects; na kama uta-apply small jobs ambazo nimesema maximum ni 5 Jobs; kama ulikuwa fasta ku-apply, then una guarantee ya zote 5 kuwa #1 in the list or at least kuwa kwenye Top 5 ambayo na yenyewe ni mzuri sana!
 
Sijawahi kufanya kazi Fivver. I think I was lucky with Upwork enzi hizo inaitwa oDesk! Baada ya kujiunga tu, ilinichukua chini ya wiki moja kupata kazi yangu ya kwanza; na ndani ya mwezi mmoja nikawa nazikataa kazi! Matokoe yake, sikuwa tena na sababu ya kurandaranda huku na huko, ingawaje hivi sasa it's a matter of time kabla sijaanza kurandaranda manake mambo magumu ile mbaya!

Kuhusu bei ya Connects, wanaanza kuuza 10 Connects kwa $1.5; na unaweza kununua nyingi zaidi kwa staili hiyo hiyo; 20 kwa $3, 30 kwa $4.5 and so on up to 60 Connects for $12. Kumbuka, hizo 10 Connects unaweza kuzitumia to a maximum of 5 Jobs and minimum 2 Jobs. Ukichukua maelezo yangu ya awali kuhusu Freelancer.com kuuza nafasi za juu, hiyo $1.5 inakuwezesha kununua nafasi ya juu kwa Application moja tu, na hakuna guarantee kwamba itakuwa kwenye #1. Kinyume chake, hiyo $1.5 uliyonunua 10 Connects; na kama uta-apply small jobs ambazo nimesema maximum ni 5 Jobs; kama ulikuwa fasta ku-apply, then una guarantee ya zote 5 kuwa #1 in the list or at least kuwa kwenye Top 5 ambayo na yenyewe ni mzuri sana!
Dah aiseee
Yani kazi inawindwa kama sungura[emoji1] [emoji1] ukichelewa kidogo tu tayari wameshakutoa kwenye reli

Hivi hapa bongo hamna site kama hizo mkuu mana dah wenzetu huko wamechachamaa kweli kweli kwenye hizi fursa
 
Ofcourse payooneer ni expensive nikiwithdraw milion moja nakatwa zaidi ya laki na ishirini halafu pale kwenye atm naambiwa kila withdraw nitakatwa 11000 payoneer charges $3, na milion moja lazima udraw mara 3 maana maximum ni lak 4 kwa withdraw moja lakini ajabu wanakata ela ndefu sana sema ndiyo hivyo ni quickest way kama nataka kufanya transfer.
Of course ni expensiv but all in all, kwa 1M bado ni cheap kutumia Payoneer kulinganisha na Wire Transfer kwa sababu haiwezi kufika hiyo 120K. Mfano mzuri, saa chache tu zilizopita nimefanya transaction tatu NMB ambazo ni 1.2M; ambayo ni almost USD 560. Sasa hiyo USD 560 ukitumia wire transfer, say to CRDB, itakayofika kwenye akaunti yako ni 560-45 = $515. Sasa kama itakayofika ni $515, kupata 1.2M ambayo unaweza kuipata kwa Payooner ukitumia mashine za NMB, ina maana rate iwe 1,200,000/515 = TSh. 2330. Huwezi kupata rate kama hiyo kwa non-cash (in fact hata kama ni cash), tena kwa kuuza. Kwa maana nyingine, ukituma USD560 kwa wire transfer, itakayoingia kwenye akaunti ni less than 1.2M. Kwa rate za NMB za leo, hiyo 1M ni kama USD466.5; ukitumia Wire Transfer, itafika USD421.5. Sasa kwa USD 421.5 utaweza kupata 1M only if Selling Rate ni TZS 2372.5 jambo ambalo halipo!!!
 
Dah aiseee
Yani kazi inawindwa kama sungura[emoji1] [emoji1] ukichelewa kidogo tu tayari wameshakutoa kwenye reli

Hivi hapa bongo hamna site kama hizo mkuu mana dah wenzetu huko wamechachamaa kweli kweli kwenye hizi fursa
Kibongo bongo sijawahi kusikia but keep trying, itafika siku utapata tu!! Muhimu ni kuzingatia huku duniani watu wanatafuta kazi kwa mwaka mzima na hawapati lakini wanaendelea kutuma maombi badala ya kukata tamaa. Problem la online jobs, watu huwa wanakata tamaa mapema huku wakisahau online jobs na kwenye traditional jobs kote kunahitaji uvumilivu!
 
Back
Top Bottom