Dillemma!

mahusiano yenu yalianzaje bila kuwa na baadhi ya interest zinazofanana?

Sidhani kama wanapaswa kufanana interest but in order for the relationship to survive they have to respect the differences in their interest that's all they need/we all need
 

Perfectly
 
mahusiano yenu yalianzaje bila kuwa na baadhi ya interest zinazofanana?

No need
We need differences to survive not similarities mkuu
Ila if u respect those differences that's survival
 

HV unajua unakua mbinafsi Wa hali ya juu
Picture this way
Nikikuuliza unataka a change afuate interest zako its obvious what u want but y don't u follow his?
Tatizo ya Mapenz ya maigizo ni hapa we all look for similarities and not differences
When u start respecting the differences u guys have is the only survival u have stop thinking like others (mapenz ya show offs) think differently n u guy will come to understanding
 

Nadhani ungepitia post zote uone jinsi alivyoelezea na kujibu maswali ya watu..... In fact sio interest ila tabia za huyu bwana mwanamke mwenye akili timamu hawezi juvumilia mbaya zaidi hakosoleki, harekebishiki....
 
Nadhani ungepitia post zote uone jinsi alivyoelezea na kujibu maswali ya watu..... In fact sio interest ila tabia za huyu bwana mwanamke mwenye akili timamu hawezi juvumilia mbaya zaidi hakosoleki, harekebishiki....

Nakubaliana na ww ni kweli kuna baadhi ya tabia z all rigid kama hvyo but nadhani she meant interest na sio tabia all all those anajaribu kujustify her interest sababu ingekua ni tabia basi toka mwanzo angesema ni tabia na sio interest u know
she is hiding smthng is what I see from my end na hzo majibu yake ya comments
 
The Boss umeniita na nimeitikia wito wako.
Niliwahi kuweka uzi unaweza kujibu swali lake na wenzie walijaribu kuisemmea mioyo yao, akiipitia anaweza kupata jibu lakini namshauri tu achanganye na zake

https://www.jamiiforums.com/mahusia...nayekufikisha-au-mwanaume-mwenye-muafaka.html
 
Last edited by a moderator:

Nadhan alikosea tu kiswahili.....lakini zile tabia alizosema kwa upande mwingine ni kama interest ila mimi nimezidefina kama tabia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…