Kama ni kweli unachokipenda kwake ni lile tendo tu,endelea kutumia muda wako mwingi kutafakari hilo ili ujiridhishe kama utaubeba msalaba au la.Hivi kweli kabisa hamna kitu chochote kile unachofuraia ukiwa nae tofauti na icho?
hicho tu.. hakuna kingine.. yaani kuna wakati naamua kutaka kumuacha kabsaaa lakini yeye akiniambia tuachane nalia kwa uchungu sana na kumuomba msamaha wakati katika other life aspects sifurahii kabsaa na hilo suala linanikosesha amani ya maisha
hahahahha inategemea harage la wapi mengine hayasababishi machanganyiko wa hali ya hewa
afu isije kuwa we ndo mahondaw mbona umetawala uwanja wake lol
hahahahha inategemea harage la wapi mengine hayasababishi machanganyiko wa hali ya hewa
afu isije kuwa we ndo mahondaw mbona umetawala uwanja wake lol
teh teh.! hapana jamani styles za kukoment za lara1 zinajulikana she has a unique style ever seen!!
there is always a chance for something better. Dnt limit ufahamu wako.sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..
Precisely, what is considered good sex?
atakufa.. juz kati nilimwambia anipe muda zaidi akalia kama mtoto na ni mtu mzima tu kanizidi miaka 10 tatizo amepanic na mahusiano yaani historia yake alishawahi kurudishiwa mahari mara mbili i mean wasichana wawili tofaut tofaut ndio mana mimi nlivomwambia anipe muda zaidi alilia kama mtoto akarecall nyuma..but but..no..no!
Kwa Wanawake wa tz wana taka a long lasting pumping I guess
Hmm...really?
Maana lasting for too long nayo husababisha uke kukauka, jambo ambalo huleta michubuko ambayo husababisha maumivu baadaye (hususan wakati wa haja ndogo).
Hujawahi experience hiyo kitu?
Acha KUPOTOSHA UMA NA KUMDANGANYA MWENZIO! Ingekuwa hivo mngekuwa waumini wa FREE P? Weeweeeeeeee! Kale kamchezo kana utamu wake!
Ndo kuna mtu kaolewa na Gay guy anatupiaga hio LIFE IS MORE THAN SEX! My big black a.ss!! Mwaya kitandani ni kamilisho la upendo!
Very true...but since few lasts that long..u can see..why..ndo maana dawa za kienyeji matangazo kila mtaa
Ngabu hivi mbebes wa ukweli Smile alienda wapi?
Nionavyo you are one hell of an UNGRATEFUL B. so full of your self unamuona mwenzio bado sanaaaaa, theonly area ambayo umeshindwa kumshusha thw guy ni expertise yake, kama Mh. Machemlikibatari. Ila sehemu zingine the guy doesnt stand a chance in your heart! Ushajitune mind yako hivo, huyu ni jogoo la shamba!
GIVE HIM A CHANCE, A FAIR CHANCE TO PROVE YOU WRONG! You will be surprised! Unaweza kumodify utakavyo awe! Usione waume za watu wanapiga pensi na Pollo tshirt wamekaa bar, na Samsung Note 3 kubwaa ukajiswme his is my dream man,, nywele saluni every week kusawazisha, ukajua walikutana hivi, walikutwa wanavaa wanichoma kumoyo na kuchomekea shir kwenye suruali, bia hawaonji, nywele afro! Wanawake wenzoo jasho limewatoka si utani!
hilo nalo nenomahusiano yenu yalianzaje bila kuwa na baadhi ya interest zinazofanana?