Dillemma!

Kama ni kweli unachokipenda kwake ni lile tendo tu,endelea kutumia muda wako mwingi kutafakari hilo ili ujiridhishe kama utaubeba msalaba au la.Hivi kweli kabisa hamna kitu chochote kile unachofuraia ukiwa nae tofauti na icho?

hicho tu.. hakuna kingine.. yaani kuna wakati naamua kutaka kumuacha kabsaaa lakini yeye akiniambia tuachane nalia kwa uchungu sana na kumuomba msamaha wakati katika other life aspects sifurahii kabsaa na hilo suala linanikosesha amani ya maisha
 
hicho tu.. hakuna kingine.. yaani kuna wakati naamua kutaka kumuacha kabsaaa lakini yeye akiniambia tuachane nalia kwa uchungu sana na kumuomba msamaha wakati katika other life aspects sifurahii kabsaa na hilo suala linanikosesha amani ya maisha

Bado najaribu kutathmini, ivi ye anaonesha kukujali lakini? nimepata mashaka apo anapokuambia muachane we ndo unalia.Katika hili mshirikishe na Mungu ili ufanye maamuzi sahihi.
 
hahahahha inategemea harage la wapi mengine hayasababishi machanganyiko wa hali ya hewa
afu isije kuwa we ndo mahondaw mbona umetawala uwanja wake lol

teh teh.! hapana jamani style za kukoment za lara1 zinajulikana she has a unique style ever seen!!
 
hahahahha inategemea harage la wapi mengine hayasababishi machanganyiko wa hali ya hewa
afu isije kuwa we ndo mahondaw mbona umetawala uwanja wake lol

teh teh.! hapana jamani styles za kukoment za lara1 zinajulikana she has a unique style ever seen!!
 
sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..
there is always a chance for something better. Dnt limit ufahamu wako.
 

For sure huyo atakusumbua sana..hata kumuacha tu atakuhangaisha...labda umkimbie..
 
Kwa Wanawake wa tz wana taka a long lasting pumping I guess

Hmm...really?

Maana lasting for too long nayo husababisha uke kukauka, jambo ambalo huleta michubuko ambayo husababisha maumivu baadaye (hususan wakati wa haja ndogo).

Hujawahi experience hiyo kitu?
 
Hmm...really?

Maana lasting for too long nayo husababisha uke kukauka, jambo ambalo huleta michubuko ambayo husababisha maumivu baadaye (hususan wakati wa haja ndogo).

Hujawahi experience hiyo kitu?

Very true...but since few lasts that long..u can see..why..ndo maana dawa za kienyeji matangazo kila mtaa
 

hivi unaumrigani wewe
 
Ngabu hivi mbebes wa ukweli Smile alienda wapi?
 
Last edited by a moderator:
kidogo mi umeniacha yani hamuendani interest ila at the same time he has been f... like nobody else kivipi sasa ili hali hamuendani kwann ameendelea kukuf.... sincerely kama kweli hamuendani y that act never stopped mpaka inafikia kutambulishana kwa wazazi kuna kitu kiko uncertain hapo best uwe more open if real u need the best advice as labda ulichepuka then from the mchepuko ukagundua au kuona some additional stuffs more than the 1c jamaa amekuwa akikuprovidia otherwise i should say let him keeps on f.... till then
 

Natamani ningepata mwanamke wa kunibadili hvyo, huyu ananibadili in-opposite-direction-ya-unachosema!
 
humpend jamaaa either ni broke au unajiona ni mzuri sio wa kiwango chake.....hayo ndo matatzo ya kucompare recent bond with a previous bond or with somebody,s bond.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…