Hiyo ya kusahau kama wana vifanyio ilikuwa mwaka 47 Husninyo, siku hizi hata wa miaka 79 bado wanagegedana tena kwa raha zao, chezeya utamu weye!!!!
Bado najaribu kutathmini, ivi ye anaonesha kukujali lakini? nimepata mashaka apo anapokuambia muachane we ndo unalia.Katika hili mshirikishe na Mungu ili ufanye maamuzi sahihi.
In fact hauko tayari kutambulishwa kwasasa...mwambie.
Zipo tabia zirekebikazo na zisizorekebika...pima nauamue kuwa anakufaa au hakufai.
Muda wa kitandani ni mfupi zaidi ya ule mjumuikao nje kwenye jamii...amua kipi wahitaji zaidi, au sawazisha au toa kafara kimojawapo.
Interest zako umebadili au kuna mtu unamuona ni bora kuliko huyo wako
fanya maamuzi magumu now tumia tu busara...mwambie not the right moment now so utaendelea having sex while unapanga plan b taratibu....
Your right hapo Kama upendo upo lazima tumbo liwe joto!! Some times tuelewe Tabia za watu ni tofauti kuna wengine wana ukorofi wa asili !! Historical toka babu mpaka mjukuu :mfano mzuri ni Mimi mwenyewe
As heading inavojieleza mwenzenu nashindwa kuyaelewa mapenzi. hivi bora nifurahi kwa muda fulani na nikose amani maishani mwotee ama vice versa is true? kwa sababu mpenzi wangu tunatofautiana interests kabsaa yani kila kukicha ni kugombana but kunako 6*6 ni fundi haswaa really ananimarrlliza na kuniacha hoi!
Sasa anataka akanitambulishe kwao.. Je nitaishije na mwanaume ambaye nahisi hanipi amani ninachofurahia kwake ni tuwapo kitandani tu na life is not only about kugegedana.? ata sijui yani..Ushauri pls!
As heading inavojieleza mwenzenu nashindwa kuyaelewa mapenzi. hivi bora nifurahi kwa muda fulani na nikose amani maishani mwotee ama vice versa is true? kwa sababu mpenzi wangu tunatofautiana interests kabsaa yani kila kukicha ni kugombana but kunako 6*6 ni fundi haswaa really ananimarrlliza na kuniacha hoi!
Sasa anataka akanitambulishe kwao.. Je nitaishije na mwanaume ambaye nahisi hanipi amani ninachofurahia kwake ni tuwapo kitandani tu na life is not only about kugegedana.? ata sijui yani..Ushauri pls!
Your right hapo Kama upendo upo lazima tumbo liwe joto!! Some times tuelewe Tabia za watu ni tofauti kuna wengine wana ukorofi wa asili !! Historical toka babu mpaka mjukuu :mfano mzuri ni Mimi mwenyewe
atakufa.. juz kati nilimwambia anipe muda zaidi akalia kama mtoto na ni mtu mzima tu kanizidi miaka 10 tatizo amepanic na mahusiano yaani historia yake alishawahi kurudishiwa mahari mara mbili i mean wasichana wawili tofaut tofaut ndio mana mimi nlivomwambia anipe muda zaidi alilia kama mtoto akarecall nyuma..but but..no..no!
mahondaw chukua hii...Katika vitabu vyote nilivyowahi kusoma vihusuvyo ndoa, katika maarifa yote niliyowahi kuyapata kuhusu ndoa na katika uzoefu wote nilionao kuhusu ndoa...binti pasipo shaka yoyote nakueleza ya kwamba upo hatarini kuliko hatari yenyewe.
Yes, ngono ni sehemu moja wapo ya mahusiano ya kindoa lakini ukweli ni kwamba inachukua asilimia ndogo sana ya maisha mazima ya ndoa.
Wataalamu wa mahusiano ya kingono hutamka ya kwamba, ngono nzuri huanzia akilini mwa mtu...yaani wale wenye afya ya akili hufaidi zaidi kuliko wale wenye mtindio wa afya ya akili.
Huwezi kuishi na mtu maisha yako yote huku moyo wako ukiwa hauna amani naye kabisa.
NOTE:
Kuna wakati nilikushauri kwa lugha ngumu kidogo wakati uliopita, na naamini ulinipuuzia kama wadada wengi wapendavyo kufanya...ila sasa kama unaweza rudi nyuma na uyakumbuke yale maneno
yeah i got him.. na sijui leo nikaogee maji gani maana kila tunapoargue na watu8 huishia kutukanana tu but thanks God leo amenishauri vizuri sana bila matusi.. asante sana take like weneva yuaaa.
cc. watu8