The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Unataka ushauri gani sasa wakati umeshasema maisha ya hivyo ni hatari?kama ni mazuri 5% asilimia zilizobzki ni kinyume cha hapo. maisha ya hivi hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka ushauri gani sasa wakati umeshasema maisha ya hivyo ni hatari?kama ni mazuri 5% asilimia zilizobzki ni kinyume cha hapo. maisha ya hivi hatari sana
hapo kwenye B unifikirie na mimi
eeeh... eee.. etiii?????!!!......(simpo pause).... pardon...i ddnt got u!!!!!!!!!
hah hah haa haloooooooooooo ooooooooo! the 1st thing i wana do is to stay away from him..because nipo kwake kama wik 3 sasa now i wana go back to my place then other things will follow!! tangu majuz nimechange kidogo mpaka anajishtukia mwenyewe mi sina habari najifanya kama sijui vile.
Acha kumpotosha wewe. SEX ndio alama ya mapenzi bila sex hakuna mapenzi. wewe ukipata mwanaume anae kuonjaonja kidogo bila kulizika si utatafuta mwingine ili hakulizishe.
unaweza ukamuacha huyo ukapata mwingine ndio balaa. ukawa bint wa kuacha kuacha wanaume coz ume experience hiyo tabia ya kuacha. mwishoe utaandika naomba ushauri mpenzi wangu anifikishi kileleni. Tulia na huyo mwanaume mpe mapenzi matamu uku ukimsifia kila mara, mwishoe atabadilika tu.
you..... I answered acording to what i was asked usivamie vamie tu bila kujua chanzo.
absolutely perfect... huko koote ni matokeo tu the problem NI MKOROFI WA ASILI. Namimi ni mpole kupitliza yani ni interests zetu ni kusini na kaskazini.
Kind....???
mwanzoni ilikua ngumu kujua baadhi ya tabia na mambo yake kiujumla kwa sababu hakujionyesha but as days goes nadiscover vitu tofauti na nilivyotarajia... clear??????
Ni mwanamke mwerevu/aliyekomaa pekee awezaye kuwa na huu utashi jirani...
Wewe ni mmoja wao
mwanzoni ilikua ngumu kujua baadhi ya tabia na mambo yake kiujumla kwa sababu hakujionyesha but as days goes nadiscover vitu tofauti na nilivyotarajia... clear??????
sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..
Pole sana... Maamuzi ya mwisho yalikuwaje maana wengine wangependa kujifunza kutoka kwako kwa situation uliyopitiahah hah haa haloooooooooooo ooooooooo! the 1st thing i wana do is to stay away from him..because nipo kwake kama wik 3 sasa now i wana go back to my place then other things will follow!! tangu majuz nimechange kidogo mpaka anajishtukia mwenyewe mi sina habari najifanya kama sijui vile.
Cc chinchilla moja ya athari ya dating for fun. Watu huficha rangi zao halisiNegative effects za kuonja tunda kabla ya ndoa ni pamoja na hii.. Sikulaumu coz wengi sasa ndio trend yetu ya maisha, kulalana kwanza...lakini kusingekuwa na ngono, ingalikuwa rahisi kufanya maamuzi, kwa sasa kigezo kimoja tu kinakufunga.
upo crossroad kwa sasa, lakini jiulize hivi maisha ni tendo la ndoa pekee. Kama hutakuwa na amani ndani ya nyumba, hata huko kumsifia hakutakuwepo tena vile utaota sugu ya matatizo na sex haitakuwa na ladha tena.
think dada, think...!!