Dimpoz ni ugonjwa?

Dimpoz ni ugonjwa?

Anatomically dimples hutokana na muscle ya kwenye shavu inayoitwa "zygomaticus major" kua na bellies mbili na kuacha gap katikati ambalo hutokea kama kishimo juu ya ngozi, kwa wasio na dimples zygomaticus major inakua na belly moja tu iliyo flat hivyo hamna gap
 
Anatomically dimples hutokana na muscle ya kwenye shavu inayoitwa "zygomaticus major" kua na bellies mbili na kuacha gap katikati ambalo hutokea kama kishimo juu ya ngozi, kwa wasio na dimples zygomaticus major inakua na belly moja tu iliyo flat hivyo hamna gap
Ni kwanini kwenye shavu tu na isiwe sehem nyingine mkuu
 
mmh nataka nichongeshe dimples ni hatua zipi nifate ?
 
Ni kwanini kwenye shavu tu na isiwe sehem nyingine mkuu
Zipo muscle nyingine pia zenye bellies mbili ila huwez kuona effect zao za vishimo direct kutokana na position zao mfano kwenye shingo kuna "digastric muscle" ina belly mbili lakini huwezi kuona kile ki gap kwa juu ya ngozi kutokana na muingiliano wa structure nyingi pande zile
 
Zipo muscle nyingine pia zenye bellies mbili ila huwez kuona effect zao za vishimo direct kutokana na position zao mfano kwenye shingo kuna "digastric muscle" ina belly mbili lakini huwezi kuona kile ki gap kwa juu ya ngozi kutokana na muingiliano wa structure nyingi pande zile
Asante sana mkuu
 
kwa kukusaidia tu na kwa faida ya wengineo humu ni kwamba hizo dimples au mtu mwenye dimples awe ni Mwanaume au Mwanamke basi jua ana vitu au characters hizi kubwa zifuatazo na ambazo Mwenyezi Mungu huwa hazitoi tu hovyo hovyo hata kwa " mangumbaru " wengine:

  1. mwenye dimples huwa na BAHATI sana maishani.
  2. mwenye dimples huwa na MVUTO mkubwa.
  3. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA sana na mno ( Charismatic ).
  4. mwenye dimples huwa na UTAMU usio na kifani katika TENDO zima la ndoa.
  5. mwenye dimples huwa na USHAWISHI mkubwa mno popote alipo.
  6. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA kupita kiasi na Mwenyezi Mungu.
  7. mwenye dimples huwa ni mtu MKARIMU, MCHESHI na asiye na MAKUU.
ukizikataa hizo basi ujue unataka tu kuleta " ligi " isiyo na mdhamini ila ukweli ndiyo huo. asante sana Mwenyezi Mungu kwa UUMBAJI wako huu.
Thats me.
 
kwa kukusaidia tu na kwa faida ya wengineo humu ni kwamba hizo dimples au mtu mwenye dimples awe ni Mwanaume au Mwanamke basi jua ana vitu au characters hizi kubwa zifuatazo na ambazo Mwenyezi Mungu huwa hazitoi tu hovyo hovyo hata kwa " mangumbaru " wengine:

  1. mwenye dimples huwa na BAHATI sana maishani.
  2. mwenye dimples huwa na MVUTO mkubwa.
  3. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA sana na mno ( Charismatic ).
  4. mwenye dimples huwa na UTAMU usio na kifani katika TENDO zima la ndoa.
  5. mwenye dimples huwa na USHAWISHI mkubwa mno popote alipo.
  6. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA kupita kiasi na Mwenyezi Mungu.
  7. mwenye dimples huwa ni mtu MKARIMU, MCHESHI na asiye na MAKUU.
ukizikataa hizo basi ujue unataka tu kuleta " ligi " isiyo na mdhamini ila ukweli ndiyo huo. asante sana Mwenyezi Mungu kwa UUMBAJI wako huu.

Namba 7 sio kweli kua eti mwenye Dimples anapendwa sana na Mwenyezi Mungu.
 
Mtoto akizaliwa kama hana unaweza ziweka ukitaka. Utegemea na mzazi anapendaje kama akiona hana na anazipenda basi anamwekea mtoto.

Sawa tu na kumtengeneza mtoto akawa na wowowo na shepu nzuri kiunoni hadi kwa mahips bila kusubiria kama litakota au halitatoka. Napita
 
mtoto anawekewaje hizo dimpoz
 
Mtoto akizaliwa kama hana unaweza ziweka ukitaka. Utegemea na mzazi anapendaje kama akiona hana na anazipenda basi anamwekea mtoto.

Sawa tu na kumtengeneza mtoto akawa na wowowo na shepu nzuri kiunoni hadi kwa mahips bila kusubiria kama litakota au halitatoka. Napita
hebu ukuje hapa unielekeze mdada mzuri
 
Dimpoz ni malformation ni ulemavu, hata mwanya pia

Malformation: A structural defect in the body due to abnormal embryonic or fetal development
 
Mwenye dimpoz anaposmile anaejua malava styleeee...dimpoz ni noma!! kwangu is the big turn on.
 
Yap kuna sehemu nilisoma walisema ni disorder ya tissues in short sio kitu normal, I trust the source by the way
 
Kama ni ugonjwa basi mwanya ni kilema
 
Back
Top Bottom