Mpenzi wa Islam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 2,295
- 7
Maoni yangu kuhusu wazo la ndugu SteveD ni,
Kama ikifungwa itasaidiaje kupunguza wajinga Duniani.
Kwa hiyo nami nataka idumu milele kwa sababu inasaidia sana kutuelimisha sote.
Wenye busara wamesema kwanza Mwenye hekima hufunza kutoka na swali ya mpumbavu kisha mpumbavu hufunza kutoka na jibu la mwenye hekima.
Na Wahenga wetu wamesema Elimu ni maisha,si Vitabu.
Nami nasema maisha ni mchanganyika ya matamu na machungu.
Tuendelee hivyo kwa subra na Amani.
Kwa hiyo isifungwe kamwe.
Kama ikifungwa itasaidiaje kupunguza wajinga Duniani.
Kwa hiyo nami nataka idumu milele kwa sababu inasaidia sana kutuelimisha sote.
Wenye busara wamesema kwanza Mwenye hekima hufunza kutoka na swali ya mpumbavu kisha mpumbavu hufunza kutoka na jibu la mwenye hekima.
Na Wahenga wetu wamesema Elimu ni maisha,si Vitabu.
Nami nasema maisha ni mchanganyika ya matamu na machungu.
Tuendelee hivyo kwa subra na Amani.
Kwa hiyo isifungwe kamwe.