Dini hizi. Kwa hiyo King Charles atakuwa mkuu wa Anglikana na hali alitalikiana na kuoa tena?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Hili litakaaje kwa waanglikana. Kwa kawaida mfalme au malkia wa Uingereza ndiye mkuu wa kanisa la Anglikana. Sasa huyu ndoa yake aliyopo leo haina baraka za kanisa. Atakuwaje kiongozi wa kanisa hilo?
 
Alioa baada ya kifo Cha Diane,,,ndoa haikufungwa wakati Diane yupo hai
 
Unajua kisa Cha King Edward!!? Mpaka kuvunja mahusiano na Roma na kuanzisha Anglican!!?
 
Waafrika akili hakuna kabisaa...wewe inakuuma kuoa na kuacha ...hujiulizi why mkuu wa kanisa alikuwa anasimamia utumwa na ukoloni?
Kwani utumwa na ukoloni ni dhambi au ni mwiko kikanisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…