balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Naam,halafu papa akilindwa na jeshi la Charles wa holy Roman empire( Ujeruman na Austria) ambaye ana undugu na Catherin mke wa Henry viii.Akaona papa anapendelea, maana amewahi kumruhusu mfalme wa Ufaransa kutaliki na kuoa tena.