Dini hizi. Kwa hiyo King Charles atakuwa mkuu wa Anglikana na hali alitalikiana na kuoa tena?

Ungefuatilia historia ya uanzishaji wa kanisa la Anglican hilo unaloshangaa lisingekuwa ajabu,hayo ni mambo ya Imani acha wafu wazikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…