Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Je, dini imekuja kuikomboa Afrika au kuiangusha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, dini imekuja kuikomboa Afrika au kuianguaha?
View attachment 2417824
Unapenda dini kuliko Mungu!Dini ndio kila kitu kwangu,shikamoo sabato
Dini zimeleta laana Africa. Wachina 90% siyo Wafuasi wa dini za Mashariki ya kati na wako poa kabisa kimaisha na kimaendeleoJe, dini imekuja kuikomboa Afrika au kuianguaha?
View attachment 2417824
Ahahahaha 🙄🙄🙄Toeni Sadaka ya kujimaliza acheni makasiriko
Hatari sanaZa kuambiwa unachanganya na zako.
Waafrika wakiambiwa hawachanganyi na zao, matokeo yake utumwa, ukoloni mkongwe na mamboleo.
Dini ni njia ya kumtisha, kudhibiti ili kumnyonya mfuasi.
Fumbo mfumbe mjinga mwerevu ang'amue.
Kwa sababu ya umasikini wa fikra, waafrika wanaishika kweli kweli kuliko hata waasisi.
Je, dini imekuja kuikomboa Afrika au kuiangusha?
View attachment 2417824
Wazee wa kanisa wapo wachawi piaDini zimeleta unafiki ambao ni hatari katika jamii kwani wachawi wanajificha kwenye dini na kuzidi kuangamiza watu.
Naunga mkono hoja, ila kuna mazuri na mabaya, mazuri ya hizi dini ni zimeleta modern covilization kwa jamii nyingi za Kiafrika, ubaya ni zime puuza mila zetu zote za kiasili na kuziita ni za kishenzi, na kulaani imani zote za asili kuziita ni za kipagani, wakati in reality kuna baadhi ya mila za kiasili ni nzuri, zio zote ni za kishenzi, moja ya mila yetu nzuri ya kiasili ni ile ya mwanaume kuoa as many women as he can, provided he can pay the bride price, and feed, shelter, and service them.Dini zimeleta laana Africa. Wachina 90% siyo Wafuasi wa dini za Mashariki ya kati na wako poa kabisa kimaisha na kimaendeleo